Habari wana JF wenzangu,
Mie Nina tatizo nahisi maana napata maumivu upande Wa kulia chini ya mbavu usawa Wa kitovu (Julia tu lakn) hata nikienda gym au kuogelea huwa napata kichomi kwa haraka upande huu wa kulia . Je ni tatizo la ini ama figo?
Kwa anaefahamu daktari mzuri am a Hosp anisaidie tafadhali
Mie Nina tatizo nahisi maana napata maumivu upande Wa kulia chini ya mbavu usawa Wa kitovu (Julia tu lakn) hata nikienda gym au kuogelea huwa napata kichomi kwa haraka upande huu wa kulia . Je ni tatizo la ini ama figo?
Kwa anaefahamu daktari mzuri am a Hosp anisaidie tafadhali