Nimwache akapange au niondoke mimi?

Nimwache akapange au niondoke mimi?

Mi hta cjamalizia story yko nimepatwa na hasira mwanaume unakuaje mjinga mjinga kwa mtu ambaye unaweza weka pemben

Nyie ndo mnaofanya wadada wanatudharau sana na mke wako ashajua we ni mdhaifu huwezi leta maamuz kwake

Aiseee tumia uanaume wako freshi mkuu
 
Aisee vipi unyumba mnapeana na anaufurahia?
 
mkuu pole sana asilimia kama 30% wamepitia changamoto kama zako.Ni hatari sana kumuokota mdhururaji na kuishi nae ndani atakutesa hadi uzeeni .Shukuru mungu ni mtoto mmoja, Usioe kwanza tafuta suluuu halafu vuta pumzi dogo akue kue na suluhu hapo ni mvunje mausiano kisheria tu huyo ni jini .wanaume tuache hii tabia ya kuparamia mademu wa easy to carry cost yao ni kubwa sana mbeleni wengi wametoka kwenye familia zenye fujo huyo kesha athirika na malezi ya utotoni .Simba hazai kenge.
 
Chukua mwanao peleka kwa mama hiyo pesa laki mbili uliyokua unatuma kwake alivokua mkoani now uwe unatuma kwa mama yeye achana nae
 
dugu Huyo mwanamke ukiwa naye uwezi kupata maendeleo matumizi makubwa sana.

Mwanamke Huyo ana kiburi na dharau kama ataweza kujirekebisha endelea naye kama hawez hakuna namna Acha.

Utakapo Kuwa kwenye utaratibu wa kuacha fanya mara 1 vingine atakuendea kwa Mganga.

Wazazi wako wana upendo sana nawapa hongera. Kwetu Babu yangu alimkatalia mtoto wake wa kiume kuoa mke mwenye tabia mbaya , Babu kampiga marufuku mke wa Mtoto wake kwenda kumsalimia. Mahusiano yalivunjika kwa tabia mbaya ya mwanamke.
 
dugu Huyo mwanamke ukiwa naye uwezi kupata maendeleo matumizi makubwa sana.

Mwanamke Huyo ana kiburi na dharau kama ataweza kujirekebisha endelea naye kama hawez hakuna namna Acha.

Utakapo Kuwa kwenye utaratibu wa kuacha fanya mara 1 vingine atakuendea kwa Mganga.

Wazazi wako wana upendo sana nawapa hongera. Kwetu Babu yangu alimkatalia mtoto wake wa kiume kuoa mwenye tabia, Babu kampiga marufuku mke wa Mtoto wake kwenda kumsalimia. Mahusiano yalivunjika kwa tabia mbaya ya mwanamke.
Asante mkuu
 
Ivi wanaume siku izi tunapungua????.

Kwa nin niliumbwa na Roho hii mimi?? Hata ivo sijutii kua ivi.


Aiseee Umenikasirisha sanaaa, WANAUME WA KANDA YA ZIWA HATUPO KM ULIVYO.

Kuzaa na mwanamke. Kusifanye uwe mjinga kiasi cha kuvumilia ujinga wa kila aina.

UMEZENGUA JOOOH...MAFANIKIO YA MWANAUME ,NYUMA YAKE NI MWANAMKE
[emoji117]NA UYO MWANAMKE NI MAMA YAKO MZAZI AU DADA YAKO AU "MWANAMKE ALOZALIWA KUA MKE WA MTU".

wee umebebana na Mwanamke alozaliwa kuongeza idadi ya Wanawake duniani.

Bila shaka ni kembamba ako kademu, vinakuaga na roho mbaya, havijiamin. Vinajistukia, vinachukia watu bila sababu, gubu ndo usiseme, vichoyo vya chakula.

kwaufupi kakufanya wewe kua boya wake.!!


Kwan mtoto wako anaumri gani?????


KULIKO KUENDELEA NA AKO KAJINGA , PELEKA MTOTO KWA MAMA YAKO. UWE UNATUMA PESA HUKO, UFANYE MAMBO YAKO YA MAANA.


ukiwa mjinga, kataendelea kutumia mwamvuli wa mtoto ,kuumiza, mwisho NDUGU ZAKO WATAKITENGA. KATAKUTENGANISHA NA MARAFIKI NA NDUGU.

LKN KAMA HIYO HAITOSHI. WATU WATAOGOPA KUKANYAGA KWAKO.



SIKIA MKUU..."" KUZAA NAYE, WENDA ALIZAA SABABU ANATAKA MTOTO AU SABABU ALIONA NDO ATAPATA PA KUJISHIKIZA,,,, KUANZA UPYA SIO UJINGA, KM UMEFANYA JITIHADA ZOTE KUMUWEKA SAWA,LKN HABADILIKI????


PIGA CHINI HUYO MPUUZI... UTAKUFA SIKU SIO ZAKO!!!
 
Wewe unaweza kuishi na shetani na mkalala vizuri kabisa, acha kujifanya una hela utakuja kizijutia baadae huyo hakufai tena mwepuke
 
Kuna watu mmejaaliwa na mioyo yenu ya uvumilivu.

Upuuzi wa hivo kwangu mwiko.
 
Mpe likizo akapumzike kwanza,wakati huo wewe ukijipanga kwa maamuzi sahihi.
 
Unamvumiliaje lakini? Huyo hakupendi wewe wala ndugu zako. Chukua mwanao muache akatange na njia atajifunza
 
Back
Top Bottom