Nimwache akapange au niondoke mimi?

Mkuu endelea kupambana maana unaonekana una moyo wa chuma. Ila mimi naomba kuona hizo sms za matusi
 
Wanaume wa type yako almost 98% waliangamia na gharika wakati wa Nuhu na wachache walikufa vitani Uganda wakati a vita vya kagera.......kwa simulizi yako in speechless [emoji22]
 
Yaani ukishanitukania au kugombana na mama yangu ndo taraka yako hiyo. KWELI KUPENDA KUSIKIE KWA MWENZAKO
 
Siafiki hata wazo la kumwachia chumba, huyo ni wa kumtoa kabisa hapo kwa njia yeyote ile akaanzishe maisha yake huko; uvumilivu kwa mtu asiye heshimu hisia zangu nilishajikatalia katika maisha yangu.
 
Wakati wengine unatamani upate mwanaume wa kukuweka huru kwa wazazi na kukupenda kwa dhati.
Kuna wanawake wengine sijui ndokuzoea kudanga. Anatamani akapange Ili adange.
Mchukue mwanao na utapata mwanamke wa kumlea Vizuri tu Mbona.
Kuna wanawake wenye roho nzuri atamlea Kama mwanaye tu Mbona. Mwache hapo we Nenda kaanze Maisha mapya.
 
Chukua mtoto peleka kwa bibiake (mama yako) then piga chini achana nae huyo mwanamke ambae hajitambui kama kuna jamaa anamdanganya na anamdanganya kweli. Mwanamke gan unampeleka kwenu hachangamkii watu kaz kuchati tu.
Kwahyo mkiendaga kwenu hata jikon inaonekana huwa haingii kwa hiyo apikiwe na nan.
Hakaf inaonekana unampenda sana na alishalijua hilo haiwekan umwachie biashara na unsona haileti matunda unaangalia tu
Mtoto siyo kigezo na utajuta ukiendelea nae huyo asiejitambua
Piga chini wanawake wanaotaka kuolewa n wengi mno.
 
Haaaaa kajitambulishe Mkuu
 
Wakati wa mahaba motomoto wapenzi (me na ke) wangekuwa wanafanya starehe zao hata miaka 3 bila kuzaa, ingepunguza sana kesi za ustawi wa jamii.
Wewe ulikaaa mingapi na changamoto zilikuwa zipi uliwezaje kuzitatua
 
Achana nae kaka utanikumbuka when it is too late! Tena anaweza kuwekea sumu huyo akakuua unavomuambia aondoke! Kimbia mweeeeeeee
 
Achana naye huyo, mtoto wako peleka kwa bibi yake mzaa baba. Mwambie akatafute mwanaume wa kumtukana, we umechoka. Akileta ngebe mtandike akili imkae sawa.

Nakwambia ukiendelea naye, jiandae kufa masikini. Huyo yupo kwa ajili ya familia yake tu, hafai kuwa mke
 
Tatizo liko kwako.
1. Ulifanya ujinga kukubali kuishi na hatimaye kuzaa na mwanamke ambaye hujamchunguza vya kutosha kuona kama anafaa kuwa mke.
2.Mwanaume ni kichwa anapaswa kuongoza familia kwa kuweka misingi,taratibu, na misimamo ambao wrote wanaoishi chini ya dari lake wanapaswa kuifuata bila kuhoji.
NB: Simama kama mwanaume.
 
Hapo kwanza nkupe pole ndugu yangu

.cha pili ebu MPE muda aende kwao akakae hats miezi 3 na uwe unatuma matumizi less than 50 then uone kama atanyooka

But pia uyo anachuma kwako anawekeza kwao kwa akili ya mbali coz kama ndugu zake wako kimya hawamkemei means wanamsapoti aendelee kukufanyia ubaya
 
Mwachie nenda kapange sehemu nyingine mbali. Mwambie akae hapo na wewe ndiye unaondoka.
 
Sasa amerudi yupo hapa kwangu nilimwambi tuachane anadai nimpe muda ajipange ataenda kujitegemea, but mimi ninafikiria kuondoka tu nimwachie kila kitu nikaanze maisha yangu upya
We jamaaa we we timuaalia mbali dubwana iloo.
 
Limbwata kweli lipo aisee daah..
Jiwinde hata huyo mtoto unayejisifia wako kacheck DNA,
Mr Automatic Teller Machine
 
Alikubar kirahic kuondok?

Maan watu kam hao ishu kuondok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…