Nimwache akapange au niondoke mimi?

Mtoto wa jinsia gani Mkuu? Maana hata akikataa mtoto kukupa kama kiumeni atajipeleka mwenyewe kwa bibiake mzaa wewe ila kama wa kike mchukue faster asije kudapt upuuzi wa mamake.

Kaka wewe nadhani ni malaika na sijui kama kuna malaika mvumilivu kama wewe. Sisi wakristo biblia inasema wazi kuwa ukimhubiria mtu au kumuonya na asisikie maneno yako basi simama kung'uta mavumbi uende zako. Naomba simama kama mwanamme acha kutudhalilisha Mkuu. Na ungekuwa karibu ningekupa ya uso ili nizibue akili yako labda imekaa vibaya
 
Dada nimekupenda bure kabisa kwa ushauri wako. Huyo mkaka akipata mwanamke mwenye sifa za mwanamke naamini watafika mbali sana

Wanaume wa hivyo sijui wapo wangapi kwa sasa hapa duniani
 
story ni ndefu sana,ila kwa kifupi tu,fikiria kumuacha huyo mwanamke aende zake,vinginevyo utapata taabu sana
 
Kuondoka anasema mpaka mwakani, mimi nimechoka sana na nikimwona najawa na hasira sana kiasi kwamba huwa naondoka tu home na kwenda matembezi yangu sometimes naenda kulewa. I am so stressed kiasi kwamba sitaki ugomvi kabisa


Pole sana kwa majanga unayopambana nayo. Simama kwenye nafasi yako kama mwanaume. Jeuri analeta yeye pia masharti ya kutengana anafanya yeye, Alishakuona bwege ndiyo maana anakusumbua. Nakushauri amua siku moja bila kumpa notice tena kwa kumaanisha na usirudi nyumba. Atakuuwa kwa pressure huyo.
 
Kum.a.mae wallahi we jamaa hizo sio akili zako ushatengenezwa kitambo tu!!
 
Dada nimekupenda bure kabisa kwa ushauri wako. Huyo mkaka akipata mwanamke mwenye sifa za mwanamke naamini watafika mbali sana

Wanaume wa hivyo sijui wapo wangapi kwa sasa hapa duniani
Mimi Nahisi kabaki peke yake tu
 
Pole mkuu, bado una muda wa kuanza upya,achana nae uyo kabisa!,ukimng'ang'ania utakuja kujidhuru kwa anayokufanyia.
 
Kwa hizo tabia inaonesha yeye ndo alikuwa anamnyanyasa dadake. Mwachie kila kitu, we sepa kaanze upya. Mwanao akikua mfate umuweke Boarding school mana pesa unazo.
 
Ushauri unatolewa baada ya kusikiliza malalamiko ya pande zote mbili... hapa utaambiwa yale tu unayotaka uambiwe most of which yanaweza umiza upande wa pili.., kwa maelezo yako kwa hali ya kawaida haiwezekani kuishi na mwanamke wa aina hiyo from the begining... lakini wewe umeweza na bado unaendelea kuweza kitu kinachonifanya nipate mashaka na ukweli wa maneno yako.
 
Aisee we ni mmoja kati ya wanaume wavumilivu sana...mm nisingeweza kukaa na mwanamke wa aina hyo hata kdgo...mm nilikuwa na maswaiba kama yako ingawa yako yamezid kidogo..nilichofanya,nilimwacha mtoto kwa mama ake..baada ya kufikia umri wa kuanza masomo nikampeleka boarding school...problem solved
 
Kosa la kwanza ulilofanya ni kukubali awe mke wako, na hili ni kosa la wote waliokubali kuoa au kuolewa, kosa la pili ni hilo la kumwacha unalotaka kufanya. Naomba ufahamu mambo haya matatu kuhusu aina za watu katika kila mgogoro unaotokea, 1. kuna watu wanaoepuka migogoro kwa kuipuuza au kuiona ni kitu kidogo tu na kuifanya kama haipo, 2. Kuna wanaotafuta ushindi katika kila mgogoro unaotokea kwa kufanya yafuatayo, kushambulia kwa maneno mengi na makali, kulia nk, 3. Kuna wanaotafuta suluhu kwenye kila mgogoro unaotokea kwa kuangalia wamechangiaje kusababisha mgogoro uliyotokea na kuomba msamaha au kutoa msamaha. Ndugu kwa maelezo yako, naona wewe ni aina ya watu wanaoepuka migogoro kwa kuipuuza na kuifanya kama ni kitu kidogo tu, halafu mbaya zaidi mke wako ni aina ya watu wanaotafuta ushindi katika kila mgogoro kati yenu. Maoni yangu; kwa aina yenu ninyi wawili hamtawahi fanya maendeleo makubwa ya maisha yenu ingawa uwezo mnao, kwa aina yako mwanaume ya kuepuka migogoro mke wako atakuongoza na kukutawala kwa kuwa yeye ni aina ya watu wanaotafuta ushindi katika kila migogoro na wewe utakubali tu yaishe ili maisha yaendele. Ushauri wangu, tafakari zaidi kuhusu mwenendo wenu na wajibu wako katika nyumba yako kwani kila kichwa na mwanamke ni mwanaume. Mungu alikuumba uwe kiongozi kwa mkeo na watoto wako na mkeo awe msaidizi wako, usipokuwa mwangalifu utakuwa msaidizi na mkeo atakuongoza. Ukipenda tuongee zaidi ni follow ndugu.
 
Mkuu hapa wa kulaumiwa ni wewe kwa sababu kwa tabia zake ulikua unatakiwa kumuacha 2017 mwanzoni kabsa ila hukuchukua hatua.

Gunia la misumari halibebwi kichwani
 
Sasa amerudi yupo hapa kwangu nilimwambi tuachane anadai nimpe muda ajipange ataenda kujitegemea, but mimi ninafikiria kuondoka tu nimwachie kila kitu nikaanze maisha yangu upya
WEWE JAMAA UMELOGWA WEWE...MPUMBAVU MKUBWA WEWE...

SIDHANI KAMA WEWE NI MWANAUME HALISI...

ETI NIMWACHIE VITU VYOTE NIKAANZE...KWANZA UMEMUOA...? WEWE JAMAA HELA UNATOA TU HUNA SHIDA...HELA ZISIZOKUWA NA MAELEZO YA KUTOSHA UNATOA TU...WEWE NI MPUMBAVU...ETY NIMWACHIE VITU NIENDE...YEYE HAPO HANA CHA KUMILIKI...HATA MTOTO NI WAKO...CHUKUA ISHI NAE HATA KWA MAMA AKO ATABARIKIWA...HILO SHETANI ACHANA NALO...

SASA NIKUAMBIE TU UKWELI...
NAFAHAMU UNAWASAIDIA SANA NDUGU ZAKO...

ILA UKWELI NI KWAMBA WAZAZI NA NDUGU ZAKO WASHAKUONA ZEZETA...NA WANATAMANI KUKUAMBIA UKWELI WEWE NI ZEZETA KWA HUYO MWANAMKE...ILA WAKIKUAMBIA HUENDA UKAMIND UKAKATA HUDUMA BURE..

ILA WEWE HUWEZI KUWA MWANAUME...ETY UNAVUMILIA YOTE HAYO...
 
Ktk yotee uliyoandika mm naona yanavulika isipokuwa 1yaan anakataa kupokea cmu ya mamayako mzazi tena hata akikupigia no yako hataki kuongea nae nani kama mama ktk dunia hii ukubali mama yako mzazi azereleuliwe ati kwa sababu ya mtt kwan huyo mtt hawezi kulelewa na mt mwingine je akifa itakuwaje umekosea sana na ulikosea kuendelea nae cku tu alipoanza kumzereu mama yako nataman nikutafutie tusi hapa lkn naogopa mkuu
 
Jinga kabisa wewe...unatuaibisha wenzio.....cha kufanya kama unamuonea mwanao huruma, mwache huyo mwanamke na mtoto hapo nyumbani ...timua zako tafuta ustaarabu mwengine..ila matunzo endelea nayo yale yanayoeleweka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…