Nimwache au nilee mimba

Kama wewe ni Mume basi Mimba ni yako,
Rudisha Mkeo mlee Mimba hiyo.
Angekuwa ni mwanao wa kiume au mdogo wako wa kiume au kaka yako ungemshauri maneno haya haya, au ndio kwasababu msiba huu sio wa familia yako basi unaamua tu kutetea kambi ya kike ?
 
Angekuwa ni mwanao wa kiume au mdogo wako wa kiume au kaka yako ungemshauri maneno haya haya, au ndio kwasababu msiba huu sio wa familia yako basi unaamua tu kutetea kambi ya kike ?
Kitanda hakizai haramu
 
mhudumie akiwa hukohuko kwao kwa sharti kuwa akishajifungua mtafanya DNA test, na mtoto akiwa wako utaamua uendelee kuwa naye kama mke au ex uwe unahudumia mtoto tu, maana ameshachepuka na amekiri. Wala usiumize kichwa sana.
 
Kaka kuwa makini Kwa nini awasiliane na hjyo jamaa yake.
Bro am sure 99% mimba ni ya jamaa na sio yako take care bro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…