Nimwache au nilee mimba

Nimwache au nilee mimba

Kama wewe ni Mume basi Mimba ni yako,
Rudisha Mkeo mlee Mimba hiyo.
Angekuwa ni mwanao wa kiume au mdogo wako wa kiume au kaka yako ungemshauri maneno haya haya, au ndio kwasababu msiba huu sio wa familia yako basi unaamua tu kutetea kambi ya kike ?
 
Angekuwa ni mwanao wa kiume au mdogo wako wa kiume au kaka yako ungemshauri maneno haya haya, au ndio kwasababu msiba huu sio wa familia yako basi unaamua tu kutetea kambi ya kike ?
Kitanda hakizai haramu
 
Nilitoa mada majuzi juu ya tukio la mke wangu kuwasiliana na ex wake. Naeleza jinsi nilivyomkataza mimba akiwa na miezi miwili na nikagundua bado mawasiliano yapo mpaka imefikisha miezi saba. Nikagundua yaliyojificha, kwamba yule jamaa alitakiwa na yeye ana mimba yake na mke wangu. Wakaenda kupima na wakagundua ni kweli, lakini jamaa akagoma kutokana na muda waliokutana ulikuwa ni siku tano nyuma na mke wangu ndiye aliyemfuata na kudai ana mimba yake.

Nilichofanya ni kumpiga makofi mke wangu mara kumi na kumwondoa kwao. Leo napigiwa simu na ndugu zake wakiomba msamaha kwangu kwa sababu maisha ni magumu sana kijijini. Kama jamaa aliikataa mimba, mawasiliano bado yaliendelea, na yeye anadai kuwa jamaa ndiye aliyekuwa anamsumbua.

Ni kweli kwamba wanaume wanachepuka, lakini siyo kuleta mimba za wasiwasi nyumbani. Bado anang'ang'ania kuwa mimba ni yangu.

===
Pia soma Nilee mimba au nimwache?
mhudumie akiwa hukohuko kwao kwa sharti kuwa akishajifungua mtafanya DNA test, na mtoto akiwa wako utaamua uendelee kuwa naye kama mke au ex uwe unahudumia mtoto tu, maana ameshachepuka na amekiri. Wala usiumize kichwa sana.
 
Nilitoa mada majuzi juu ya tukio la mke wangu kuwasiliana na ex wake. Naeleza jinsi nilivyomkataza mimba akiwa na miezi miwili na nikagundua bado mawasiliano yapo mpaka imefikisha miezi saba. Nikagundua yaliyojificha, kwamba yule jamaa alitakiwa na yeye ana mimba yake na mke wangu. Wakaenda kupima na wakagundua ni kweli, lakini jamaa akagoma kutokana na muda waliokutana ulikuwa ni siku tano nyuma na mke wangu ndiye aliyemfuata na kudai ana mimba yake.

Nilichofanya ni kumpiga makofi mke wangu mara kumi na kumwondoa kwao. Leo napigiwa simu na ndugu zake wakiomba msamaha kwangu kwa sababu maisha ni magumu sana kijijini. Kama jamaa aliikataa mimba, mawasiliano bado yaliendelea, na yeye anadai kuwa jamaa ndiye aliyekuwa anamsumbua.

Ni kweli kwamba wanaume wanachepuka, lakini siyo kuleta mimba za wasiwasi nyumbani. Bado anang'ang'ania kuwa mimba ni yangu.

===
Pia soma Nilee mimba au nimwache?
Kaka kuwa makini Kwa nini awasiliane na hjyo jamaa yake.
Bro am sure 99% mimba ni ya jamaa na sio yako take care bro.
 
Back
Top Bottom