Uchaguzi 2020 Nimwoshe Gambo na Dodoki gani kwa wananchi wa Arusha?

Huu uchaguzi utakua mgumu Sana Arusha mjini muhimu uwe huru na haki tu.
 
Jimbo limerudi Chadema tayari,Gambo maji ya shingo
 
Mkuu nafikiri ungetumia maneno yasiyokuwa na utata. Maneno hayo ya kuosha, dodoki, kutakata ni yamekaa kipravite affairs sana hususan kama wewe ni mwanaume. Mwanaume kumwosha mwanaume mwenzako duh. Anyway Gambo anashinda asubuhi sana Arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…