Uchaguzi 2020 Nimwoshe Gambo na Dodoki gani kwa wananchi wa Arusha?

Uchaguzi 2020 Nimwoshe Gambo na Dodoki gani kwa wananchi wa Arusha?

Huu uchaguzi utakua mgumu Sana Arusha mjini muhimu uwe huru na haki tu.
 
Jimbo limerudi Chadema tayari,Gambo maji ya shingo
 
Uteuzi wa Mrisho Gambo Jimbo la Arusha umepokewa kwa mitazamo Tofauti ukizingatia kwamba siku Rais John Mgufuli akimtumbua ukuu wa Mkoa huo watu wengi walifurahia na kuonekana wakimwaga pombe bar kwa Furaha.

Baadhi walisema kuwa Arusha bila Gambo ,Lema ataendelea kuongoza jimbo la Arusha Mjini.

Hata hivyo kinyume na matarajio ya wengi mji wa Arusha umeonekana kutokuwa na furaha kwa baadhi ya wananchi kuonyesha kutofurahia uteuzi huo na wengi wakihoji kwamba Gambo aliyetumbuliwa na Rais Magufuli kwa kashfa atawezaje kung'ara kwa wananchi?
Mkuu nafikiri ungetumia maneno yasiyokuwa na utata. Maneno hayo ya kuosha, dodoki, kutakata ni yamekaa kipravite affairs sana hususan kama wewe ni mwanaume. Mwanaume kumwosha mwanaume mwenzako duh. Anyway Gambo anashinda asubuhi sana Arusha
 
Back
Top Bottom