uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
kila la kheri... kitaalam sio mzoefu.. ilikuwa mwaka 2000 kipindi hicho hizo cage system natumia.. mianzi hawa wanaofuga sasa watakueleza utalaam wa sasa.Mkuu nashukuru sana kwa maelezo unayonipa. Eneo lipo Kigamboni kisarawe II. Kusema ukweli nataka kuifanya issue kitaalam kidogo.
Nashukuru kwa kunambia kuwa kila kata kuna bwana samaki embu ngoja nifuatilie.
Kaka yaelekea mwenzangu uko kwenye area hii...., je naweza kuja kujifunza?...., au unaweza nashauri niende wapi niweze kuona na kujifunza kaka ili nami nikianza basi mradi wangu uwe na makosa machache.Siku hizi kuna mabwawa mengi sana ya kitaalamu ,ata ukitaka ya kuhamishika,hiyo ela kama unacho chanzo cha maji,mwisho kabisa ukimaliza hatua zote ukiitaji Vifaranga vya Kambale na sato ,nakuletea mpaka mlangoni
Yaah wanapatikana baharini lakini wanafanya vizuri kwenye temperate climate na maji yanayoflow kila muda.mkuu msaada. Kwanini Salmon hawapo indian ocean? Yani huyu samaki ni lulu
Bar zimedorora mkuu..Fungua bar tu mkuu itakulipa
Karibu ujifunze Mkuu,tembelea wafugaji wengi uwezavyo utajifunza mno ,njoo pm niambie ulipo na nikushauri uanzie kwa Mfugaji yupo karibu yakoKaka yaelekea mwenzangu uko kwenye area hii...., je naweza kuja kujifunza?...., au unaweza nashauri niende wapi niweze kuona na kujifunza kaka ili nami nikianza basi mradi wangu uwe na makosa machache.
Kaka nashukuru kwa msaada wako nitakuja PM.Karibu ujifunze Mkuu,tembelea wafugaji wengi uwezavyo utajifunza mno ,njoo pm niambie ulipo na nikushauri uanzie kwa Mfugaji yupo karibu yako
Pole sana mkuu, nadhani kwenye suhala la kuwashibiti wachawi nitawasiliana na bwana Mshana hapa....., hahahaaa, jokingukubwa wa bwawa uendane na wing wa samaki, kuna ku calculate ratio kbsa wataalam wanajua, la sivyo ukawa na bwawa kubwa samaki wachache umejila, mating haitafanyika vzr yaan mpaka wakutane ili kugegedana hatimaye wazaliane labda wakodi boti, bro ailishafuga alifanikiwa sana mvua ndo ikamharibia ilinyesha bwawa likajaa yan wakat bwawa linafurika tupo hv tunaangalia samak wakubwa ka nin wakimwagwa nje, tulitaman mto wote tuuelekeze nyumbn, ikala kwake kadirio la 28M, wachawi walikula samaki mwez, shenz zao, no wonder ile mvua ilitengenezwa. mvua gan imenyesha mtaa mmoja tu, hakikisha unaweka chakula cha kutosha la utawapigsha ndefu na wewe mwenyewe usipojipanga utbnza kula chakula cha samaki, kuna mwenzako huku alikula chakula cha kuku wake
DrLove69 you make my day bro......, hii ndio faida ya kuomba msaada umu na kakutana na watu manguli na walio serious.Suma JKT wana mradi ulio bora kabisa wa kufuga Samaki kwenye matenki ya maji. Gharama zao ni milioni 3 kwa complete system. Kufuga samaki kwenye mabwawa ni kizamani na risk ni kubwa sana ukilinganisha na ufugaji wa kitaalam kwa kutumia matenki ya maji. Mimi nafuga kwa aina hiyo na naona faida yake.
Nakushauri uwasiliane na Suma JKT pale RUVU uweze kujionea na kupata ushauri zaidi.
Kila la kheri mkuu.
Hiyo yote haijalishi issue ni kufuata vigezo na mashariti iwe ni bwawa la kawaida,Tanks,Cage faida unapata tu.Suma JKT wana mradi ulio bora kabisa wa kufuga Samaki kwenye matenki ya maji. Gharama zao ni milioni 3 kwa complete system. Kufuga samaki kwenye mabwawa ni kizamani na risk ni kubwa sana ukilinganisha na ufugaji wa kitaalam kwa kutumia matenki ya maji. Mimi nafuga kwa aina hiyo na naona faida yake.
Nakushauri uwasiliane na Suma JKT pale RUVU uweze kujionea na kupata ushauri zaidi.
Kila la kheri mkuu.
Unaifahamu gharama ya cages mkuuKwa mtaji wako unaweza kuanza kufanya mradi huo kama eneo unalo la kutosha na upatikanaji wa maji ni mzuri(maji baridi),..kwa kuwa unaanza gharama lazima iwe kubwa japo ukiweza kukamilisha faida yake ni nono huko mbeleni..
NB:tumia "cage system" mambo yatakuwa "wow".
0752902084 mtafute huyu bwana mdogo atakusaidia mkuuMkuu nashukuru sana kwa maelezo unayonipa. Eneo lipo Kigamboni kisarawe II. Kusema ukweli nataka kuifanya issue kitaalam kidogo.
Nashukuru kwa kunambia kuwa kila kata kuna bwana samaki embu ngoja nifuatilie.
Ndiyo mkuu,.Unaifahamu gharama ya cages mkuu