Nina 10M nahitaji kufuga Samaki naombeni ushauri

Nina 10M nahitaji kufuga Samaki naombeni ushauri

Ndio umeandika nini sasa hapa!? Katika ulimwengu wa leo bado unaamini ukubwa wa eneo ndio ukubwa wa output ya mazao!? Hakika huna unalojua.
Pathetic!
Sasa unaweza linganisha hilo tank la 100sqm na 500sqm na wote labda umestock monosex Tilapia.

Mimi namshauri jamaa kwama ukubwa wa bwawa unamata kama atataka fanya kibiashara na sio ufugaji wa kitalii.

Issue ya output sijui outcome lazima twende na management+technology.
 
watembelee banda lao la JKT mwezi ujao pale katika maonyesho ya Sabasaba ; watakupatia mashine pamoja na tank kwa 4mil hadi 6mil kulingana na ukubwa Wa mashine utakayochagua,
Ni matank mathubuti yaliyoboreshwa pia watakupatia vifaranga vya samaki kama mtaji, kwa maelezo zaidi ni Pm au fika ofisi za JKT;
Utakuwa na Uwezo Wa kuvuna samaki 200 hadi 600 kila baada ya miezi mitatu
Samaki gani huvunwa ndani ya miezi mitatu? tuache utaalam ufanye kazi.
Kinyume na hapo watu mtaibiwa sana.
 
Karibu sana ndugu.
Nimekutumia contacts zao. Natumaini utapata muafaka na kuleta mrejesho hapa.
NB: Matenki yanakuwa matano (1000 ltrs) per system na sio moja.
Nakutakia kila la kheri mkuu.
Kaka asante sana, nashukuru sana mkuu...., ngoja nitafanya mawasiliano nao kisha nitakuja na mrejesho
 
Back
Top Bottom