Sasa kweli huko pisi kali zitakuja🤔🤔🤔🤔🤣 Mvuti kwa mbele uko kmm
mmmk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kweli huko pisi kali zitakuja🤔🤔🤔🤔🤣 Mvuti kwa mbele uko kmm
mmmk
haziwezi kuja, uko uwe chaputa, au ugonge pisi mbovu mbovu za kizaramoSasa kweli huko pisi kali zitakuja🤔🤔🤔🤔
It is about the neighbourhood. Kwa hela iyo anaweza pata mbweni Jkt, Kiwanja karibu na beachMaisha si Mbweni tu hata Baobab kuna vuwanja vizuri kwa milioni 30-40
Mungu akupe unachotaka🤲🙏threads kama hizi reminds me how miserable i am[emoji3064]
AamenMungu akupe unachotaka[emoji2969][emoji120]
Ukumbuke hii dua..
Vipi mishahara ya mwezi huu imetoka tayari?
Mungu akupe unachotaka[emoji2969][emoji120]
Ukumbuke hii dua..
ID yako itakutesa MILELE.ni graduate currently unemployed
Mkuu, nikijiangalia hali yangu, NAKUFURU kwa kuwaza kuwa, KUNA WATU WANAISHI PEPONI KABLA HAWAJAFA!Hatari kiwanja tuu mil 200
ID yako itakutesa MILELE.
Afu ukute jamaa ndo vile swaga za kiduku lilo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna jamaa alkua nacho jiran na mliman city kina nyumba ya kizamani.
Alkua anauza 220M.
Ukiongea nae naiman mnaweza fika mpk iyo 180
Ngoja nimchek niine Kama hajauza bado
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake ChiefHatari kiwanja tuu mil 200
Kuna kiwanja kizuri,mwenyewe anauza milioni SITINI (60), kipo maeneo karibu na kunduchi,pana banda la vyumba viwili na sebule,Wakuu,
Niliandika hapa Novemba 2020 (ref Natafuta Kiwanja cha kujenga jijini Dar. Nina Sh. Milioni 40 ) nikitafuta kiwanja na wakati huo nilikuwa na 40m tu. Viwanja vingi nilivyopelekwa ilibidi nirudi kujipinda nitafute pesa zaidi ili nipate kiwanja ninachotaka hasa. Kwa sasa bajeti yangu ni TSH. 180,000,000 ingawa naweza kujivuta ikafika 200,000,000 nikipata kiwanja kizuri, eneo zuri.
Natafuta kiwanja kilichopimwa hasa maeneo ya Mbweni, Ununio au hata kwingine lakini maeneo ambayo tayari yameendelezwa.
Kama unacho kiwanja (chako mwenyewe) au unamjua mwenye kiwanja maeneo haya, tafadhali niunganishe. Nimekutana na madalali, sometimes wanakuchosha kwa kukupitisha maeneo mengi wakati mtu ratiba yako iko so limited.
Asante
Plot size?njoo kibada
Mkuu, naweza kujua plot size tafadhali? Hata pembeni (DM)Mkuu Kama uko serious Kuna kiwanja kina Nyumba ya kawaida , Eneo Ni Kijitonyama. Sehemu imepangika sio uswahilini.
Kama uko tayari njoo nikupeleke. Na Bei haifikii hiyo ya kwako.
Kama uko tayari karibu.