Inevitable
Senior Member
- Apr 27, 2012
- 111
- 277
- Thread starter
- #41
Surveyed plots? Za ukubwa angalau 2,000sqm?Maisha si Mbweni tu hata Baobab kuna vuwanja vizuri kwa milioni 30-40
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Surveyed plots? Za ukubwa angalau 2,000sqm?Maisha si Mbweni tu hata Baobab kuna vuwanja vizuri kwa milioni 30-40
Plot size? Maeneo gani mkuu?Kipo mbezi beach
Hebu fafanua kidogo hapa!!Nenda wizara ya ardhi
Square meter 1000Plot size? Maeneo gani mkuu?
Surveyed plots? Za ukubwa angalau 2,000sqm?
Mkuu hivi ulipata eneo Mbweni ulilokua wahitaji?Plot size? Maeneo gani mkuu?
Kuna kiwanja goba ukihitajiWakuu,
Niliandika hapa Novemba 2020 (ref Natafuta Kiwanja cha kujenga jijini Dar. Nina Sh. Milioni 40 ) nikitafuta kiwanja na wakati huo nilikuwa na 40m tu. Viwanja vingi nilivyopelekwa ilibidi nirudi kujipinda nitafute pesa zaidi ili nipate kiwanja ninachotaka hasa. Kwa sasa bajeti yangu ni TSH. 180,000,000 ingawa naweza kujivuta ikafika 200,000,000 nikipata kiwanja kizuri, eneo zuri.
Natafuta kiwanja kilichopimwa hasa maeneo ya Mbweni, Ununio au hata kwingine lakini maeneo ambayo tayari yameendelezwa.
Kama unacho kiwanja (chako mwenyewe) au unamjua mwenye kiwanja maeneo haya, tafadhali niunganishe. Nimekutana na madalali, sometimes wanakuchosha kwa kukupitisha maeneo mengi wakati mtu ratiba yako iko so limited.
Asante
Kuna kiwanja goba ml 8 Kwa anae hitajiHatari kiwanja tuu mil 200
Ukitafuta kwa tanga mjini nitafute viwanja vikubwa hata kwa uwekezaji na jumbaWakuu,
Niliandika hapa Novemba 2020 (ref Natafuta Kiwanja cha kujenga jijini Dar. Nina Sh. Milioni 40 ) nikitafuta kiwanja na wakati huo nilikuwa na 40m tu. Viwanja vingi nilivyopelekwa ilibidi nirudi kujipinda nitafute pesa zaidi ili nipate kiwanja ninachotaka hasa. Kwa sasa bajeti yangu ni TSH. 180,000,000 ingawa naweza kujivuta ikafika 200,000,000 nikipata kiwanja kizuri, eneo zuri.
Natafuta kiwanja kilichopimwa hasa maeneo ya Mbweni, Ununio au hata kwingine lakini maeneo ambayo tayari yameendelezwa.
Kama unacho kiwanja (chako mwenyewe) au unamjua mwenye kiwanja maeneo haya, tafadhali niunganishe. Nimekutana na madalali, sometimes wanakuchosha kwa kukupitisha maeneo mengi wakati mtu ratiba yako iko so limited.
Asante
Nitumie pichaKuna kiwanja goba ml 8 Kwa anae hitaji
Kuna kiwanja goba ml 8 Kwa anae hitaji
SQM 2665 NDG NIPIGIE 0692177791 TUFANYE KAZI...ENEO LIPO KINYEREZ MWISHO STAND MPYA ENEO LINA HATI MILIKI.Surveyed plots? Za ukubwa angalau 2,000sqm?
PORINI HUKOMaisha si Mbweni tu hata Baobab kuna vuwanja vizuri kwa milioni 30-40