Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Mambo vipi wanajamvi.
Naombeni ushauri wenu wataalam wa sim za mkonini. Kwa bajeti hiyo sim ipi itanifaa?
Naombeni ushauri wenu wataalam wa sim za mkonini. Kwa bajeti hiyo sim ipi itanifaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii simu hai-existChukua samsang galaxy note 22 utra used
Samsung Galaxy A74 haipo duniani mkuuGalaxy A74 A54 au flagship za mwaka juzi kama s22 zitakufaa sana au iphone 12 itapendeza
Nunua simu ya laki 4 then laki 6 weka mradi wa kuku wa kienyeji sehemu then uje hapa baada ya mwaka kunishukuru
Hawa jamaa wanatuimgiza chaka kumbe simu hai exist?Hii simu hai-exist
Kuna Samsung Galaxy S22 Ultra, hii ipo yani inaexistHawa jamaa wanatuimgiza chaka kumbe simu hai exist?
![]()
Samsung Galaxy S22 Ultra 5G - Full phone specifications
Samsung Galaxy S22 Ultra 5G Android smartphone. Announced Feb 2022. Features 6.8″ display, Exynos 2200 chipset, 5000 mAh battery, 1024 GB storage, 12 GB RAM, Corning Gorilla Glass Victus+.m.gsmarena.com
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Changanua kabisa laki 6 hapo hapo kodi ya eneo,ujenzi wa banda na vifaa vyake,kuku wenyewe na chakula.
Mambo vipi wanajamvi. Naombeni ushauri wenu wataalam wa sim za mkonini. Kwa bajeti hiyo sim ipi itanifaa?
Hili ni swali la muhimu sana kabla ya kununua simuQuestion hapa ni uhahitaji nini kwenye simu.
Iphone macho 3. 😊🙃Hii ndio iphone sasa.