Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
Vioo vya Samsung mostly ni durableChukua tu iPhone, hio samsung ya 1M maintenance fee unafikiri itakua ni shilingi ngapi?
Yaani ukiidndsha chini stress zake sii za kitoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vioo vya Samsung mostly ni durableChukua tu iPhone, hio samsung ya 1M maintenance fee unafikiri itakua ni shilingi ngapi?
Yaani ukiidndsha chini stress zake sii za kitoto
Soma vizur utamuelewaKuna Samsung Galaxy S22 Ultra, hii ipo yani inaexist
Ila jamaa hapo juu kasema Samsung Galaxy Note 22 Ultra ambayo hai-exist duniani
Mimi ndio nimesema kuwa A74 haipo na A7x series imekuwa cancelledSoma vizur utamuelewa
Kasema A74 ndio haipo sunian
Alasema series za A kwasasa wame cancel
Hiyo note 22 ultra ya wapi maana sijawahi kuisikia popoteChukua samsang galaxy note 22 utra used
Kwa Iphone, labda ununue betrii tuMambo vipi wanajamvi. Naombeni ushauri wenu wataalam wa sim za mkonini. Kwa bajeti hiyo sim ipi itanifaa?
Yeah, A imeishia A73 5GMimi ndio nimesema kuwa A74 haipo na A7x series imekuwa cancelled
Ila kuna jamaa mwingine hapo juu kasema anunue Samsung Galaxy Note 22 Ultra ndio nikawa nasisitiza kuwa na hiyo pia haipo
Tafuta Nokia Ringo itakufaa sanaMambo vipi wanajamvi. Naombeni ushauri wenu wataalam wa sim za mkonini. Kwa bajeti hiyo sim ipi itanifaa?
Muda wa kusimamia mradi sina mkuuNunua simu ya laki 4 then laki 6 weka mradi wa kuku wa kienyeji sehemu then uje hapa baada ya mwaka kunishukuru
Ila katenga 1m ya simu.. mpaka mtu Ana 1m ya simu nadhani Ana issue nzuri ya kumuingizia kipato ebu tumshauri kulingana na mada aliyoiletaNunua simu ya laki 4 then laki 6 weka mradi wa kuku wa kienyeji sehemu then uje hapa baada ya mwaka kunishukuru
Mshauri sasa anunue Google PixelHivi mpk unanunua simu ya 1m unatafuta nini,space kubwa,Ram kubwa,Camera kali,speed ya simu au battery kubwa?nifahamisheni hasa,maana kuna simu zinaitwa Google pixel nasikia camera yake ni kali sana,ila bado naona watu wanataja Xiaomi,Tecno,Samsung n.k .au kuna watu wanapenda umbo la simu na hayo mengine hawajali sana...
Samsung walishaacha kuzalisha note but features zote za note walihamishia kuanzia s22Chukua samsang galaxy note 22 utra used
alfu baada ya mwezi aanze kujutia..Nunua simu ya laki 4 then laki 6 weka mradi wa kuku wa kienyeji sehemu then uje hapa baada ya mwaka kunishukuru
xiaomi aina gani?Sikushauri Samsung wala iPhone, karibu Xiaomi.
Samsung s22 🔥🔥🔥
Kwa milioni 1 sijaona option nzuri kuliko Xiaomi 12T Pro ikiwa utataka kununua Xiaomi. Specifications zake hizi hapaxiaomi aina gani?
vipi kuhusu xiaomi note 12 turbo?Kwa milioni 1 sijaona option nzuri kuliko Xiaomi 12T Pro ikiwa utataka kununua Xiaomi. Specifications zake hizi hapa
Xiaomi 12T Pro - Full phone specifications
www.gsmarena.com