bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Ukiagiza simu Alibaba vipi usalama posta itafika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samsung na iPhone ndio Wana flagship zinazotunza chaji zaidi, Siku hizi iPhone zinatunza chaji kama Infinix tuSumsung na iPhone wamefeli kwenye suala la betri tu yaani chaja Kama laptop tu.
Mchina anauzia betri 5000 si mchezo masaa 12 none stop unatoboa
Kuna mwamba hapo juu kadai s22 ultra kwa m 1 unapata ndio namuuliza huko inapopatikana 😀S22 Ultra kwa milioni 1 huwezi kupata [emoji28][emoji28]
Sawa ila ilikua ni flagship, mimi hapa natumia note 10 plus na bado sijaamua kuhama.Ila S22 ni ya mwaka jana
Sasa S22 ni milioni 1?Sawa ila ilikua ni flagship, mimi hapa natumia note 10 plus na bado sijaamua kuhama.
Naomba specification zake iyo Vivo bongo diliIpo vivo milioni 3.5
Sumsung na iPhone wamefeli kwenye suala la betri tu yaani chaja Kama laptop tu.
Mchina anauzia betri 5000 si mchezo masaa 12 none stop unatoboa
Ushauri umekaa vzr sanaa huu ila hatujui mleta mada ana matumizi gani na hy simuNunua simu ya laki 4 then laki 6 weka mradi wa kuku wa kienyeji sehemu then uje hapa baada ya mwaka kunishukuru
Kuanzia iphone ngap?mkuu zinatunza chaji ,Mkuu naomba kuuliza kitu kingine utajuaje iPhone original ukiachana na IMEI Na Serial number?Samsung na iPhone ndio Wana flagship zinazotunza chaji zaidi, Siku hizi iPhone zinatunza chaji kama Infinix tu
Pia angalia Samsung Galaxy M51 ina 7000mAh na inakaa na chaji kuliko maelezo, Sikuhizi Samsung nyingi hususani A series zinatunza chaji. Samsung Galaxy S23 Ultra inatunza chaji sana. S21 Ultra na S22 Ultra zilifeli kwenye utunzaji chaji ila hii S23 Ultra ni kiboko
iPhone kwenye chaji sasahivi naye hakamatiki
Sio sahihi kusema Samsung na iPhone hazitunzi chaji