Nina $ 23,000 ila sijui biashara gani inanifaa

Kama ni hela ya pension ndo unategemea ufanyie biashara baada ya kustaafu....dont hiyo hela ndogo kwa biashara kwa wakati huu utakufa kwa frustration na stress think twice
Unajua ni bora ujarbu ili uone nini matokeo badala ya kuziweka ndani hakuna matokeo kama umefel au la
 
Hii inakuwaje mkuu toa maelezo
Ni tovuti yakuuza bidhaa asili za kitanzania(made in Tanzania) pia ni maalumu kwa wafanyabiashara ambao wapo Tanzania.

Kazi yetu nikuhakikisha pesa yamnunuaji haipotei na bidhaa ya muuzaji haipotei wanapofanya biashara.
 
Kwa hiyo pesa usiitetemekee sana wala kuiendea pupa kumbuka idea nyingi mpya hufa hasa unapoanza biashara, tafuta biashara ambayo ishaanza ufanye kazi.....

Namaanisha tafuta big companies yaani zile strong ambazo watu wananunua shares na bonds mfano kampuni ya sigara omba uwakala huko kwenye kampuni ya sigara Tcc alafu open branch uwe branch agent mkoa kama simiyu, lindi, manyara ukiwa Kama wakala wa sigara.

tcc Ni kampuni kubwa haijawahi kupata wapinzani na bidhaa zake zinatoka sana ambazo Ni sigara sm, sport, safari, club, embassy n.k wao kama kampuni watakupa support sana uko baadaye ndiyo uje ufungue biashara yako, ukashindwa sigara nenda bia tbl, au fungua ofisi kubwa uwe wakala wa huduma za kifedha, pia wakala wa kampuni kubwa za bima insurance companies, au ingia kwenye uwakala wa bidhaa za cements, bati, na vifaa vya ujenzi....

mkuu yangu ni hayo ningekuwa Mimi ningeanza hivo usiende njee bongo bado fursa zipo kuliko huko.
 
M Mkuu unamshauri anunue magari kwa ajili ya kusafirisha watalii Zanzibar au vipi ?
 
sure vitu vidogo ndo vina chance kubwa ya kudevelop kama vikisimamiwa vizuri sema
 
hapo odd mbili tu unaidabo ndani ya dakika 90 muue man city leo weka yote hiyo
Acha izooo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ au ampe GG na 3+ mwanzo mwisho Kuna odd 5 yaani 5 x 50,000,000 = milioni 250,000,000TZSH πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Ni tovuti yakuuza bidhaa asili za kitanzania(made in Tanzania) pia ni maalumu kwa wafanyabiashara ambao wapo Tanzania.

Kazi yetu nikuhakikisha pesa yamnunuaji haipotei na bidhaa ya muuzaji haipotei wanapofanya biashara.
Nmejaribu kitembelea na nimeilewa inalenga nini
Ni kazi nzuri na imesimama,
Ni vyema nawezq kununa bidha gani ikanitoa kwa mkoa wa mwanza


..ila mimi ni marekani,huwa natumia amazon nq wish......
 
Pesa za dili unazipata kwa mkupuo mmoja hafu unajikuta huna akili ya kuzifanyia lolote.
 
Vizuri mkuu,inagharimu shi ngap kuwa wakala wa campuni moja wapo tajwa hapo juu na vipi wewe unapata faida
 
Mkuu ukiwa unasubiria biashara ya kufanya chukua Dola 500 leo Man City (win)
Liverpool (win)
Man U (win)
Barcelona (win)
Chelsea under 4.5
Spurs under 4.5
Newcastle under 3.5

Asbh una $6000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…