Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,357
- 1,596
- Thread starter
- #61
Vizuri,nimekusomaUnajua bhna issue iko hivi wewe kufanya makutano na office ya hizo kampuni ujue kama biashara utaweza au huwezi anzia kutembelea website zao wasiliana nao ujue unawafuata vipi .... mengine ya kiasi na faida utajua inakuaje, naamini unaweza kuwa wakala wakampuni hata mbili lakini Anza na moja mfano ya rangi au ya cement Ni wewe tu,