Vizuri,nimekusomaUnajua bhna issue iko hivi wewe kufanya makutano na office ya hizo kampuni ujue kama biashara utaweza au huwezi anzia kutembelea website zao wasiliana nao ujue unawafuata vipi .... mengine ya kiasi na faida utajua inakuaje, naamini unaweza kuwa wakala wakampuni hata mbili lakini Anza na moja mfano ya rangi au ya cement Ni wewe tu,
50m ananunua magari mangapi? Ya aina gani?Zanzibar hakuna magari ya watalii kama bara huku ni gari za kawaida zinatumika so unakua na kampuni ya kukodisha magari
N kazi nzur mkuu ila kwa mimi uwa nna amini nyumba kuliko ngari,Kama Mimi ningenunua IST kama 5 hivi natafuta Madereva then nawapa deal
Zinarudisha 170,000-200,000 kwa Wiki moja so Gari zikiwa used from Japan nina Uhakika matengenezo yanakuaga si sanaa kwa kipindi cha Miaka 2
170,000 * 5 = 850,000
200,000*5 = 1,000,000
850,000 *52= 44,200,000
1,000,000*52= 52,000,000
So itachukua Mwaka 1 kuweza kurudisha pesa yako then unaanza kula Faida baada ya mwaka 1
NB kwa Dar es Salaam risk ya gari kupiga mzinga ni ndogo sana kutokana na Magari jiji kuwa na Gari nyingi
2,3 Kwa hizi 50m?Ningekua wewe
1. Ningewekeza kwenye FOREX TRADING.
2. ningewekeza kwenye real estate (hasa nyumba za biashara) na viwanja.
3. Ningefungua kampuni ya ujenzi ya kisasa (hii ingeenda sambaba na namba 2 hapo juu)!
NB: Faida ya kila kota robo tatu ninge reinvest na robo ningeirudisha kwenye jamii kwa njia ya ujenzi wa madarasa na vituo vya afya!!
Hayo ni mawazo yangu.
Naona Ostaz Swaumu imemtaiti anaota mchana. Wazanzibari walivyo wabaguzi hayo magari watayatia moto mapema asubuhi50m ananunua magari mangapi? Ya aina gani?
Hela uwa haikose matumiz mkuu,tatzo ujanielewa nimemaansha nini,,,,mtu kuomba ishauri haina maana yeye ameshindwa kufanya maamuz binafs,ilq kupata mawazo ya watu wngn n vyema zaidi wakati unaaanza mikakati yakoZirudishe ulikoiba, kama huna cha kuzifanyia angalau zikasaidie wengine
Yeye hapakii wazanzibar Bali anapakia watalii au wageni ambao ndio wahitaji zaidi.Naona Ostaz Swaumu imemtaiti anaota mchana. Wazanzibari walivyo wabaguzi hayo magari watayatia moto mapema asubuhi
Ingia kwenye ujenzi mkuu ukazane uza vifaa ujenzi,Kwl cjawa namtaj wa kuwekeza kweny magari,na hata kama nikiwa nao huwa nafkria nyumba badala ya ngar
Sawa mkuu ukifanikiwa kuanzisha uwekezaji vijana tupoUnajua nchi zetu,bado hatujakaa vizur kwny maswala ya ajira yaan badala ya kufkiria maendleo bado unaifkria njaa.hlo n tatzo mkuu
Wazanzibari nao wanatolea macho hizo fursa hapo "kwao" sasa wewe "Chogo" ndo ukajidai unajua kukamata fursa kwao. Hawachelew kukutoa dvY
Yeye hapakii wazanzibar Bali anapakia watalii au wageni ambao ndio wahitaji zaidi.
Kama Mimi ningenunua IST kama 5 hivi natafuta Madereva then nawapa deal
Zinarudisha 170,000-200,000 kwa Wiki moja so Gari zikiwa used from Japan nina Uhakika matengenezo yanakuaga si sanaa kwa kipindi cha Miaka 2
170,000 * 5 = 850,000
200,000*5 = 1,000,000
850,000 *52= 44,200,000
1,000,000*52= 52,000,000
So itachukua Mwaka 1 kuweza kurudisha pesa yako then unaanza kula Faida baada ya mwaka 1
NB kwa Dar es Salaam risk ya gari kupiga mzinga ni ndogo sana kutokana na Magari jiji kuwa na Gari nyingi
Nyumba mzee utajenga ngapi kama Hapa DSM utafukia Pesa nyingi sana na Itachelewa kukulipa I know na probably kwa nyumba ya Biashara hiyo 50M inaweza kuwa ndogoN kazi nzur mkuu ila kwa mimi uwa nna amini nyumba kuliko ngari,
Ndomana ctqtaka kuanza biashara ya nyumba au gari mkuu,ukiangalia mambo hayo yanaitaj pesa ya kutosha ili iendlee kuwa haiNyumba mzee utajenga ngapi kama Hapa DSM utafukia Pesa nyingi sana na Itachelewa kukulipa I know na probably kwa nyumba ya Biashara hiyo 50M inaweza kuwa ndogo
Hardware nakubali japo inabid ukae mwenyewe au wife. Vinginevyo mfanyakazi wako atakua anauza Mali zake bila wewe kujuaNyumba mzee utajenga ngapi kama Hapa DSM utafukia Pesa nyingi sana na Itachelewa kukulipa I know na probably kwa nyumba ya Biashara hiyo 50M inaweza kuwa ndogo