Nina $ 23,000 ila sijui biashara gani inanifaa

Huyu dada yeye anaexperience na hizi biashara za lodge emu msikilize maana 😂😂😂 usidharau ushauri wa dada zetu bhna asa wanapokueleza bayana mambo haya 😅😅😅
 
Hii idea Ni nzuri sana na anunue eneo lenye property rights vibali vyote.
 
Njoo dom jenga vi apartments chumba 1na sebure na vyumba viwili na sebure kodi laki 2 hadi 3 hutojuta nyumba chache watu wengi
Iyo Ni kuweka ela chini aongeze kwa iyo amsini aje ilazo, meriwa, swaswa n.k
 
Tafuta wateja ufanye biashara ya EXPORT ya COFFEE ( ARABIKA ), COPPER ( CATHODER + ANODES ), VENEER + PLYWOOD, MANGANESE ORES, LEAD ORES, MBAO na MAGOGO ( TEAK, MKURUTI n.k ).
Hizo bidhaa anapata bure nn? Unaongea Manganese, copper kama unafikiri mtajiwake ni wakitoto.
 
Kwel ndomana unatakiwa kuwa makin
 
Mtaji wa kuanzia waweza kuwa tsh ngapi? Na vifaa vya kutestia mitambo ni vipi? Mfano cement kiasi gani, nondo, na items nyingine?
Anaweza akaomba uwakala awe anauza twiga cements aende ofisini kwao atapewa uwakala au anunue kiwandani kwa mzigo wenye discounts auze jumla na rejareja. Aanze na cements alafu nondo na bati.
 
Ushauri wangu ni huu mkuu: Usimwamini mtu YOYOTE kwenye suala la fedha hata awe ndugu yako labda uwe una uhakika naye. Simamia kila kitu peke yako kama inawezekena. Usipofuata ushauri wangu nina uhakika utarudi hapa ukiwa umeshalizwa! Kila la kheri.
Ila watu wote hawako sawq mkuu
 
Ushauri mzuri asante
 
Mkuu ndio maana nikamwambia aende ofisini kwao wafanye negotions kwa mtaji atao propose aanze nao, wao kama kampuni watamshauri kama wao jinsi ya kuwa part of the company ilihali maslahi yapo.
Inahitajika kiasi gani mtaji ili uwe wakala wa TBL au TCC? TBL utahitaji big warehouse kwahiohio 50m
 
Hata na mimi nishafanya kazi ya ujenz dada yuko sahii,shda nyumba unapoijnga usimamiz wako uko vpi,kwamaana nyumba unaweza juijenga kwa milion 10 ikawa imelngana na nyumba uliojenga kwa m5....ila kama wewe unaujuz na maswala ya ujenz unaelewa nini namaansha.halipokosea bajet yakujenga ni ndogo ukizngatia ujenz wa sasa

Ila hiace nimemuelewa mia mia,na hyo n moja ya ndoto yngu licha sio leo au kesho lakn naamni siku moja itatokea,hapo amenipa ushauri mzur na shauku ya kunifanya niendelee kufkiria hiace,ila saiv mwanza ni coaster
 
Hardware nakubali japo inabid ukae mwenyewe au wife. Vinginevyo mfanyakazi wako atakua anauza Mali zake bila wewe kujua
Kikubwa ni kuwa na iman na mtu unaempa kazi,,hata mke nae anaweza kukuzingua..
 
Mkuu ndio maana nikamwambia aende ofisini kwao wafanye negotions kwa mtaji atao propose aanze nao, wao kama kampuni watamshauri kama wao jinsi ya kuwa part of the company ilihali maslahi yapo.
TBL si chini ya 100m kuwa wakala, na warehouse ya kutosha.
 
Kwa hiyo pesa biashara ni nyingi sana mkuu. Labda tu ugumu wa biashara yoyote ni kuianza. Lakini ukishaingia unaiona kabisa utamu wa biashara. Uko mkoa gani nikuambie biashara itakayokulipa
Ni kwel kabsa
 
Ulichoongea ni kweli kwamba kila biashara Ina risks zake,lkn risks zake zinatofautiana.
Lakini lazima utakubaliana na mm kwamba Kuna biashara risks zake ni kubwa kuliko nyingine.
Kwa mfano risks ya biashara ya kusafirisha nyanya ni kubwa kuliko biashara ya kuuza matofali.
Na biashara ya kuuza chakula Ina risks kubwa kuliko biashara ya kuuza mkaa.
Kwa hyo ni wajibu wake mfanyabiashara kuangalia ni biashara ipi ambayo Ina kiwango kidogo Cha risks.
Huwezi kufanya biashara ya kusafirisha ndizi kutoka morogoro na kupeleka Moshi eti tu kwa sababu kila biashara Ina risks.
Ni lazima utumie common sense ili kukwepa hasara isiyo ya lazima.
 
Mkuu nikopeshe hiyo $3000 nakurudishia mwisho wa mwaka huu tafadhali
 
Ila watu wote hawako sawq mkuu
Ni kweli kabisa. Siyo kama kila mtu siyo mwaminifu. Ila mimi niseme kuwa fedha hubadilisha tabia za watu. Mtu anakuwa na kila aina ya uaminifu na unyenyekevu kabla hujampa fedha lakini once akizipata anakuwa mtu mwingine kabisa. Hili limenipata, tena mara mbili na nikikuambia hao jamaa walivyokuwa na dalili zote za uaminifu na unyenyekevu kabla yake utashangaa!
 
Nmejipanga sana mkuu hasa katika biashra ninayotaka kufanya na teqm nitakayofanya nayo,,,nataka niiingie kwenye ulingo nimekamlka na zana za kutosha kuanzia mmi na team yngu iwe tayar kwa kusongesha gurudumu mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…