Nina $ 23,000 ila sijui biashara gani inanifaa

Biashara yenye risk kubwa ndlo inakutoa vyema...itakulipa hata mara 5
Ni kweli kabisa biashara yenye risks ndio huwa na faida kubwa lakini pia ni pata potea.
So hizi mara nyingi zinawafaa watu wakongwe kwenye biashara.
Yaani watu ambao Wana biashara nyingi au wenye misingi imara ya pesa.
Haifai kufanya mtu anayeanza biashara halaf anaitegemea hyo biashara moja tu.
Yaani ikifa tu ndio Basi tena hana chake hata hela ya kula anakosa.
Yaani kwa mfano mtu amebahatisha kupata milioni 100 halaf yote akaenda kununua Basi la abiria.
Ina maana ikipata mzinga hata hela ya kuifufua hyo Basi Hana.
Inakuwa ndio mwisho wa biashara.
 
Kwa maana hiyo, kwa kipindi hiki kigumu ni biashara zinazotegemea mzunguko upi ndio zinaweza zikamtoa mtu kimasomaso?
Labda biashara za raw material Ku export, yaani makert is tabu, hata kama siyo Ku export Ila soko la biashara yako iwe viwanda kama raw material. But biashara kama za electronics, hardware, frem za biashara, real estimates hazifanyi vizuri. Nafkrii baada ya 2025 ataingia kiongozi wa sambli za mzee mwinyi, hapa pesa zitazagaa na ndiyo biashara hizo zitalipa
 
Wakati mwingi ujasiriamali sio mtaji tu, mentality ndio kila kitu kwenye ujasiriamali



Waliookota mitaji wengi wamefeli /wanafeli km wastaafu &likes.
Hata Mimi nimemweleza kitu hicho. Watu wengi wanashauri kana kwamba tatizo la success ni mtaji pekee
 
Kwa Uzi wako huu inaonekana wewe ni mgeni wa biashara

Simaanishi usiingie
Bali
Kuwa makini sana

Ushauri wangu
- Fanya biashara ambayo unauzoefu nayo kwa namna moja au nyingine
Lkn
Pia angalia biashara ambayo kwako wateja haitakuwa tabu kupata
- nashauri unavyoanisha biashara ANZA NA MTAJI WA 5M ili uweze test biashara yenyewe. Ni muhimu kujaribi na kujifunza ili ujue inakwendaje na kanuni zake
Kisha
Ukisha jiridhisha basi ongeza mtaji
Ila
Ikigoma na ukijaribu njia zote na ikagoma
Basi
Hamia
Biashara nyingine, ila komaa na ya kwanza mpaka ifanikiwe kwa mtaji wa 5M then expand


Kama
Ukipenda kuunganisha biashara yako iwe online
Basi
Karibu tufanya kazi nasi

Pitia Uzi huu una BUSINESS IDEAS ZAIDI YA 50 AMBAZO NI MAKINI SANA


+255-657-685-268
 



Wacha wee..fursa juu ya fursa..hamkosekanigi
 
Hii idea Ni nzuri sana na anunue eneo lenye property rights vibali vyote.

Na ashukuru hali ya sasa anaweza opoa eneo zuri balaa kwa bei ya kawaida...hata kama ni a bit expensive ye anunue tu hela itarudi na hatolala njaa (i kno what im saying)

Baadae anakuja kuwa center sna na unakuta business activity katika eneo lake zishachanganya.
 
kopesha kwa wajasiriamali wakulipe riba ,,,ila kuwa makini usije kuwa unagawa tu
Hapana mkuu cjawa na pesa ya kufanya hvyo,natakiwa nifanye kiti ambacho kitanipa ukuta mzuri,kias nkrud nyuma nakuwa na sehemu ya kukwamia na sio kurud nyuma mazima
 
Wazo nzur la hiace ila saiv coaster ndo zipo bara bara sana,huo ushaur wako wa hiace umeniingia akili
 
Njoo dom jenga vi apartments chumba 1na sebure na vyumba viwili na sebure kodi laki 2 hadi 3 hutojuta nyumba chache watu wengi
Nyumba ni kitu kizur sana hasa apts,ila nataka nijipange kwanza maana pesa yangu bado ndogo ya kuwwkeza kweny ardh
 
Ok,umeongea point mkuu ila mimi mpaka nimchukua huamuz wa kujitosa katka biashara tayar nmejistamn mwenyew na nmeamn nnaweza kuongoza biashara na watu nitakaowashirikisha najua baada ya mtaji biashara yataka nini ili kuifanya iendelee kukua na kuwa hai.uongoz wangu katka biashra yangu najiamn n mzur na nnaweza
 
Nakushauri uwaombe rafiki zako wako wa karibu,
Mawazo si lazima itoke kwa mtu unaemfahamu tu,hata hapa unaweza kukusanya akili za watu tofaut mwisho wa siku ukawa unachunguza moja baada ya lingine, na ukapata kitu kikubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…