Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 813
Nina 300,000 nataka TV Samsung inchi 32 nipo Pugu Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza hela ukachukue mpya mzee. Watu watakuuzia TV mbovu utakosa value for your hard earned money. Pia usipende kununua vitu used kwa watu utaishia jelaNina 300,000 nataka TV SAMSUNG inchi 32 nipo Pugu Dar
Sina hela zaidi ya hiyoOngeza hela ukachukue mpya mzee. Watu watakuuzia TV mbovu utakosa value for your hard earned money. Pia usipende kununua vitu used kwa watu utaishia jela
Nakushauri hiyo hela anzisha biashara ya mama lishe, huu sio msimu wa kununua TV, mambo ni mengi sana na hali ya uchumi mnayajua sana.Nina 300,000 nataka TV SAMSUNG inchi 32 nipo Pugu Dar
Wabongo!!!!nakushauri hiyo hela anzisha biashara ya mama lishe, huu sio msimu wa kununua TV, mambo ni mengi sana na hali ya uchumi mnayajua sana
Duh. JF bhana! Kwa hiyo umeona yeye hali yake ya kipato siyo njema mpaka unamshauri afungue biashara ya mgahawa?nakushauri hiyo hela anzisha biashara ya mama lishe, huu sio msimu wa kununua TV, mambo ni mengi sana na hali ya uchumi mnayajua sana
Dah mpaka nakosa la kukomentnakushauri hiyo hela anzisha biashara ya mama lishe, huu sio msimu wa kununua TV, mambo ni mengi sana na hali ya uchumi mnayajua sana
Kama haitoshi chukua aboda....sunda....Sina hela zaidi ya hiyo
Kipato chake unakifahamu? Mbona wabongo mnakua majuha sana. Kujua kwingi mwisho ni fedheha. Punguza ujuaji mkuu.nakushauri hiyo hela anzisha biashara ya mama lishe, huu sio msimu wa kununua TV, mambo ni mengi sana na hali ya uchumi mnayajua sana
Sina hela zaidi ya hiyo
MkuuSina hela zaidi ya hiyo
Mkuu zinapatikana sana tu kama ni used.Nina 300,000 nataka TV SAMSUNG inchi 32 nipo Pugu Dar
Katafute TV mpya ya bei hiyo usikomalie Samsung. Check HisenseSina hela zaidi ya hiyo
Mkuu zinapatikana sana tu kama ni used.
Ukiwa na 280 unapata Tv samsung na unabakiza 20 ya usafiri
Kama hujapata, nitafute 0744033555 nipo tabata
Kwa sasa kuna star x imetumika miezi 6 tu ipo tegeta
Hio mi mzee wa kulia kulia naishusha mpaka 270
Nitafute chaap
Ipo Star x mzee mpya kweny Box lake
Hio bei haipo mkuu.Kama bado ipo iyo ya Tegeta nina LAKI 2 mfuko wa shati. Kwa kampuni y STAR X
Kama bado hujapata sema nikuunganishe na mtu kariakoo upate TV ikiwa new na box lakeNina 300,000 nataka TV Samsung inchi 32 nipo Pugu Dar