Nina 300,000 nataka TV Samsung inchi 32, nipo Pugu Dar

Nina 300,000 nataka TV Samsung inchi 32, nipo Pugu Dar

Nina 300,000 nataka TV Samsung inchi 32 nipo Pugu Dar
Nch 40 samsung Zanzbar lak 4 ina maana nch 32 iko 280-300 fanya mpango uagize kama una ndugu andaa na km 20 ya bandarini so 300 unapata kitu safi achana za mkononi--by the way ukiwa na shida na computer aina zote welcome 0714689280
 
Ila sema hatuwezi kufanana kiuchumi, ila vitu original vinakaa sana na una vifurahia mno..natumia LG sio smart ila resolution ni nzuri sana karibu mwaka wa tano now, ht simu sipendi sana za mkononi ila ikibidi unachukua isogeze muda mbele.
 
nipo apa boss nakuchukulia gowdown kabisaa mpyaa smart tv nch 32 tsh 450 pia na tv za aina zingine pia na sabufa aina zote kwa bei ya godown apa kariakoo...ila computer is my bussness call 0714689280
Nahitaji inch 49 smart TV, ni bei gani?
 
Ukifika bandarini ndo utaujua mziki
Boss sisi tunao wa kukus
Nahitaji inch 49 smart TV, ni bei gani?
Kwa upande wa dsm za dukani hiyo unayoitaji toa laki 2 mf km ni lak 8 toa lak 2 inamaana lak 6 mana tv zinategemeana na kampuni lg/aborder sio sawa na mr uk kwa mfano mr uk nch 18 ni lak na 10 nch 24 lak na 60 sasa haiwezi kuwa sawa na lg/samsung
 
boss sisi tunao wa kukus

kwa upande wa dsm za dukani iyo unayoitaji toa lak 2 mf km ni lak 8 toa lak 2 inamaana lak 6 mana tv zinategemeana na kampuni lg/aborder sio sawa na mr uk kwa mfano mr uk nch 18 ni lak na 10 nch 24 lak na 60 sasa aiwezi kua sawa na lg/samsung
Sijaelewa vizuri mkuu! Nitoe laki 2 kutoka wapi?! Price yake inaendaje yani kwa Hisense smart TV inch 49 Dar! au yeyote anayejua guys
 
Back
Top Bottom