codifier
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 438
- 868
Nataka niende Zanzibar kuchukua Tv nasikia kule ni Bei Chee
Kule hakuna new brand, wanauza zimezopigwa spana balaa tena wao wenyewe me nilikuwepo mwezi 12 huko hakuna jipya labda Kama ni used.
Kama unataka mpya nunua hapa bongo new brand