Nina 50,000sh. nifanya biashara gani?

Nina 50,000sh. nifanya biashara gani?

Joined
Feb 8, 2017
Posts
79
Reaction score
27
wakuu haber zenu.
apa nilipo nina sh. 50,000 sasa nataka kuzalisha nipate pesa ya kuishi ...naombeni wazo la biashara..nifanye biashara gani ili niwezi kufanikiwa? kwa sasa nina ishi mbeya naombeni msaada wakuu
 
Tafuta Watu kama 30, Anzakuchezesha Mchezo (Upatu) hata shili Elfu 3000 kwaSku,, Huo Uwe Kama Mtaji,
 
wakuu haber zenu.
apa nilipo nina sh. 50,000 sasa nataka kuzalisha nipate pesa ya kuishi ...naombeni wazo la biashara..nifanye biashara gani ili niwezi kufanikiwa? kwa sasa nina ishi mbeya naombeni msaada wakuu
Kama unaweza njoo nikupe shule ya marketing uelewa wako product unachukua bure unarudisha demarch jioni watu wanapiga hela hadi 20000 kwa siku nyumba getho langu utakaa bure ila inabidi uwe mvumilivu uyakacho takiwa kuaanda ni barua ya Mtendaji na hela ya kujazia fomu 15000 na wadhamini watatu na Namba zao za Simu KARIBU sio lazima ni ushauri tu
 
Kama unaweza njoo nikupe shule ya marketing uelewa wako product unachukua bure unarudisha demarch jioni watu wanapiga hela hadi 20000 kwa siku nyumba getho langu utakaa bure ila inabidi uwe mvumilivu uyakacho takiwa kuaanda ni barua ya Mtendaji na hela ya kujazia fomu 15000 na wadhamini watatu na Namba zao za Simu KARIBU sio lazima ni ushauri tu
Makambako
 
g
53945db6f494d4241b26785359db8d4a.jpg
 
Back
Top Bottom