RWANTANG JF-Expert Member Joined Dec 28, 2021 Posts 1,143 Reaction score 1,425 Mar 3, 2022 #1 Habari za usiku huu wana jamvi. Kama bandiko linavyojieleza, Uchawi upo na matukio ya kichawi baadhi yetu tumekuwa tukiyashuhudia. Swali langi je, kuna uganga wa kweli katika kutibu uchawi? Au kumnyoosha anae kutendea visivyo?
Habari za usiku huu wana jamvi. Kama bandiko linavyojieleza, Uchawi upo na matukio ya kichawi baadhi yetu tumekuwa tukiyashuhudia. Swali langi je, kuna uganga wa kweli katika kutibu uchawi? Au kumnyoosha anae kutendea visivyo?
Kipenseli JF-Expert Member Joined Feb 9, 2020 Posts 825 Reaction score 1,074 Mar 3, 2022 #2 ngoja waje wakupe muongozo
Tajiri Kichwa JF-Expert Member Joined Apr 2, 2017 Posts 9,021 Reaction score 22,016 Mar 3, 2022 #3 Ndio uganga wa kweli upo. Ila sio wa kuchekiana whatsapp
Perfectz JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 9,045 Reaction score 28,216 Mar 3, 2022 #4 DINI YA HAKI INAZUNGUMZIAJE KUHUSU UCHAWI NA ULOZI PLUS USHIRIKINA?
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,394 Reaction score 59,069 Mar 3, 2022 #5 Sidhani maana hao ni kampuni moja vitengo tu ndiyo tofauti.
MoSantu Senior Member Joined Feb 26, 2022 Posts 173 Reaction score 167 Mar 8, 2022 #6 Kuna visomo ndugu, waliokutendea wataisoma namba.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Mar 8, 2022 #7 Inawezekana ukawa bado upo...