Nina bahati mbaya na wanawake wa JF

Nina bahati mbaya na wanawake wa JF

479180.jpg

428990.jpg
Nahuja eti we ke ila avatar ni me!
 
Mimi sio mkazi wa Kitongoji cha Chit-chat!

Sometimes nikipotelea huku nikawa nadhani wakazi wenyewe wa hiki kitongoji huwa mnamwelewa huyu jamaa... nikawa nadhani ndo flavor zenyewe za Chit-chat!!

Kumbe inaelekea hata wakazi wenyewe wa hiki kitongoji hawakuelewi mtoa mada!
 
Mimi sio mkazi wa Kitongoji cha Chit-chat!

Sometimes nikipotelea huku nikawa nadhani wakazi wenyewe wa hiki kitongoji huwa mnamwelewa huyu jamaa... nikawa nadhani ndo flavor zenyewe za Chit-chat!!

Kumbe inaelekea hata wakazi wenyewe wa hiki kitongoji hawakuelewi mtoa mada!
Kwani tupo kuelewana hapa mkuu hivi utamuelewa nani kila kitu fekero!
 
DJ Sepetu unazingua..haya mazoez yana jenga mkuu.
Utakuja vaa dela mtaani wewe. Yani kama ww kweli ni ME kemea hiyo tabia. [emoji35]
 
DJ Sepetu unazingua..haya mazoez yana jenga mkuu.
Utakuja vaa dela mtaani wewe. Yani kama ww kweli ni ME kemea hiyo tabia. [emoji35]
Hivi avatar ndo mazoea yepi! Tuwe waelewa jamani
 
Back
Top Bottom