Nina changamoto nayopitia ya mzunguko wangu wa kipesa. Nafanya kazi za ufundi ila kupata kazi imekua nikazi

Inabidi ubadilishe mfumo, kwanzia sasa kupiga hesabu pia ni kazi, usipige hesabu bure.. angalau mtu akilipia gharama za hesabu ata asipokupa mchongo mzima, usibaki na lawama
 
Inabidi ubadilishe mfumo, kwanzia sasa kupiga hesabu pia ni kazi, usipige hesabu bure.. angalau mtu akilipia gharama za hesabu ata asipokupa mchongo mzima, usibaki na lawama
Kaka hio ni sahihi ila ukifanya hivyo kazi ndo utakosa kabisa__kuna mafundi vunja bei
 
Inabidi ubadilishe mfumo, kwanzia sasa kupiga hesabu pia ni kazi, usipige hesabu bure.. angalau mtu akilipia gharama za hesabu ata asipokupa mchongo mzima, usibaki na lawama
Siku zanyuma ilikua tunafanyaga hivi ila now days kwaupande wakazitu hakuna boss wakumlipisha hela yakumpigia hesabu yakazi yake
 
Lazima unyonge niwe nao_mana sina pakuanzia ili kuukataa huo unyonge
Utafanikiwa mkuu ondoa shaka,. Ni suala na muda na kujikubali kwanza ndipo uanze kufuata ushauri,. Nimeona kuna mtu kakushauri pia uwe unafanya vipimo kwa malipo na sio bure,. Note it

By the way unapatikana mkoa gani??,,. Niko na deal na aluminum’s pia naweza kukupa mawazo kidogo kama utahitaji
 
Niko dareslaam
 
Kama hutojali unaweza nicheki PM_naon yakwako umeifunga
 
Kama una mtaji, wafanyie kazi yako kwa mkopo na wawe wanakulipa kidogo kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…