Nina dawa za kufanya mtu asifukuzwe kazi hata asitumbuliwe

Nina dawa za kufanya mtu asifukuzwe kazi hata asitumbuliwe

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Dawa hii ni kiboko imesaidia wengi

Inafanya Boss akupende na asikufikirie vibaya na kamwe hawezi kukufukuza kazi, kukushusha cheo wala kukuona vibaya.
Dawa hii imesaidia hadi mawaziri wa nigeria, cameroon, Congo hadi Rwanda mawaziri walioitumia waliaminika sana na kamwe hawakufukuzwa uwaziri hadi walipoamua kutoka wenyewe.

Hivo kazi kwenu mimi sibembelezi mtu ukitaka nitafute upewe Dawa ukiacha yatayokukuta shauri yako.
Gharama ni milioni mbili tu sasa ukubali kupoteza kazi kisa gharama hiyo ndogo au utoe ubaki salama ni chaguo lenu.
 
Dawa hii ni kiboko imesaidia wengi
Inafanya Boss akupende na asikufikirie vibaya na kamwe hawezi kukufukuza kazi, kukushusha cheo wala kukuona vibaya.
Dawa hii imesaidia hadi mawaziri wa nigeria, cameroon, Congo hadi Rwanda mawaziri walioitumia waliaminika sana na kamwe hawakufukuzwa uwaziri hadi walipoamua kutoka wenyewe.
Hivo kazi kwenu mimi sibembelezi mtu ukitaka nitafute upewe Dawa ukiacha yatayokukuta shauri yako.
Gharama ni milioni mbili tu sasa ukubali kupoteza kazi kisa gharama hiyo ndogo au utoe ubaki salama ni chaguo lenu.
Una maanaisha Supika akufuate, umuuzie dawa hiyo, na mawaziri.
 
Dawa hii ni kiboko imesaidia wengi
Inafanya Boss akupende na asikufikirie vibaya na kamwe hawezi kukufukuza kazi, kukushusha cheo wala kukuona vibaya.
Dawa hii imesaidia hadi mawaziri wa nigeria, cameroon, Congo hadi Rwanda mawaziri walioitumia waliaminika sana na kamwe hawakufukuzwa uwaziri hadi walipoamua kutoka wenyewe.
Hivo kazi kwenu mimi sibembelezi mtu ukitaka nitafute upewe Dawa ukiacha yatayokukuta shauri yako.
Gharama ni milioni mbili tu sasa ukubali kupoteza kazi kisa gharama hiyo ndogo au utoe ubaki salama ni chaguo lenu.
Toa utapeli wako hapa, wataalam wa kweli huwa hawajitangazi.Nonsense.
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa.😔😔😔😔
Amelaaniwa yule amtegemeae binadamu mwenzake.
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa.[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Amelaaniwa yule amtegemeae binadamu mwenzake.

Dawa ipo kama uwaziri unabaki nao
 
Hivi wewe fimbo za yule jamaa unaweza kuzivumilia? Anatembeza bakora yule muulize yule jamaa aliyebahatika kula bakora za 📣
 
Hio Ina wateja wachache,tafuta ya nguvu za kiume ukimbie pesa mwenyewe
 
Haya wale walio baraza la mawaziri changamkieni kinga hiyo…!!
Mkeka bado masaa 8 utoke!
 
Mtafute yule jamaa anyepiga marungu wapinzani wake atachukua zote maana hivi sasa amekalia kuti kavu.
 
Ambae anamtegemea binadamu huyo amelaaniwa-quran
 
Back
Top Bottom