Master_Oogway
Member
- Jan 20, 2017
- 12
- 6
hapana mzee malipo ni muhimuLengo ni ujuzi tu??
sawa sawa1. Check Yarp Merkz mradi makutopora to Tabora SGR.
2. China Civil Engineering Construction Corporation Mradi wa SGR Mwanza to Isaka.
3. Kuna Mradi wa Barabara ya Tanga via Pangani- Makurunge.
Huko unaweza kujaribu Bahati yako ya kazi...Ila jitahidi ujuane na watu waliokutangulia kwenye field utapata kazi.
Toa ushauri afanyajeKijana acha kujifungia ndani aisee
Wewe Technician unatafuta kazi na site zimejaa,
Au unataka uambiwe njoo uanze kazi
We are on the same field,but nna degree,Toa ushauri afanyaje
Mambo sio rahisi hvyo mkuu.We are on the same field,but nna degree,
Muhimu tembea na bahasha(CV's) peleka ktk makampun ya ujenzi ya hapo Dar,anzia njia ya coca cola pale mwenge,tembelea site mbalimbal uoneshe nia ya kazi,then website za ajira,utafanikiwa tu,nakuombea hilo
Kwa hyo n bora akae tu na asubirie watu wa JF wampe connection ya kazi,ndgu iko hv binafc nmehangaika the same route mwaka mzima ndo nikapata kaz ya site from there nikaanza kutafuta kaz ya kudumu na tija,but mwanzon hatuangalii hata km mshahara mdgo tunapambana,sasa unaposema sio rahisi hvyo bac mshauri uonavyo wewMambo sio rahisi hvyo mkuu.
UnavutiaNina diploma ya marketing wenye connections za kazi View attachment 2242045
Ni kwamba anaingia Google anaandika kampuni za civil zinakuja anachukua namba au email anaombaKwa hyo n bora akae tu na asubirie watu wa JF wampe connection ya kazi,ndgu iko hv binafc nmehangaika the same route mwaka mzima ndo nikapata kaz ya site from there nikaanza kutafuta kaz ya kudumu na tija,but mwanzon hatuangalii hata km mshahara mdgo tunapambana,sasa unaposema sio rahisi hvyo bac mshauri uonavyo wew
Wenzio wanaweka CVNina diploma ya marketing wenye connections za kazi View attachment 2242045
Pua kama ngumiNina diploma ya marketing wenye connections za kazi View attachment 2242045
Anaingia ktk browser anatafuta site za ajira hapa Tanzania,ambazo zinatangaza ajira mbali mbali,ktk makampun n bora apeleke CV mkononi yaan aende ktk ofisi za kampun hata km hawajatangaza uhitaji wa kuajiri huwez jua bahati ya mtu,na apitie ktk siteNi kwamba anaingia Google anaandika kampuni za civil zinakuja anachukua namba au email anaomba
Wew si wa kiume mbona una maneno km wa KE,kuwa mstaarabuWenzio wanaweka CV
Wewe unatuwekea limdomo lako bovu kama nini na manywele yako kama nini sijui shame on You
Poor you.
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app
Wewe ndio unatabia za kike kuchunguza mambo yasio kuhusuWew si wa kiume mbona una maneno km wa KE,kuwa mstaarabu
Umeongea ukweli kabisa... Tatizo letu hatupendi kuambiwa ukweli...Mimi sio engineer najua miradi IPO mingi Sana tembea kijana kazi kwenye private sector hawatangazi.Kwa hyo n bora akae tu na asubirie watu wa JF wampe connection ya kazi,ndgu iko hv binafc nmehangaika the same route mwaka mzima ndo nikapata kaz ya site from there nikaanza kutafuta kaz ya kudumu na tija,but mwanzon hatuangalii hata km mshahara mdgo tunapambana,sasa unaposema sio rahisi hvyo bac mshauri uonavyo wew
Nashukuru kwa ushauri wako ila kuuliza humu JF nayo ni kufight pia coz huwezi jua anayesoma ujumbe ni mtu wa aina gani, isitoshe ni wote tunafight sanaKwa hyo n bora akae tu na asubirie watu wa JF wampe connection ya kazi,ndgu iko hv binafc nmehangaika the same route mwaka mzima ndo nikapata kaz ya site from there nikaanza kutafuta kaz ya kudumu na tija,but mwanzon hatuangalii hata km mshahara mdgo tunapambana,sasa unaposema sio rahisi hvyo bac mshauri uonavyo wew