Swts
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,062
- 1,294
Watu kwa kujishaua....!!hmmmm
mibendera fata upepo tu inayoogopa kushushuliwa,isiyojiamini. Kuingia jf inahuu ..mtu tu kujipanga na muda na kwenda na wakati,jf jf..book book!
Mtu tu akili yake kama kichwani ukishindwa kujipanga na kujitambua hata ukisema siendi chooni naogopa kufeli..utafeli tu!
Mwaya dogo pole kwa matokeo mabaya,we anzia form3 shule nzuri na umwombe sana Mungu kuwa unataka kufaulu,pia usome sana. Ukipata shule we jinenee kuwa 'nimekuja kufaulu'kwa imani na uifanyie kazi,LAZIMA UFAULU,wenzako huwa wanafanya hivyo.
mibendera fata upepo tu inayoogopa kushushuliwa,isiyojiamini. Kuingia jf inahuu ..mtu tu kujipanga na muda na kwenda na wakati,jf jf..book book!
Mtu tu akili yake kama kichwani ukishindwa kujipanga na kujitambua hata ukisema siendi chooni naogopa kufeli..utafeli tu!
Mwaya dogo pole kwa matokeo mabaya,we anzia form3 shule nzuri na umwombe sana Mungu kuwa unataka kufaulu,pia usome sana. Ukipata shule we jinenee kuwa 'nimekuja kufaulu'kwa imani na uifanyie kazi,LAZIMA UFAULU,wenzako huwa wanafanya hivyo.