Nina Division Two ya point 10 (PCB)

Nina Division Two ya point 10 (PCB)

Wewe kasome bwana nchi inahitaji watu kma nyie mzee mnashusha ma equations ya eistein pale...full matheory na namba kwa kwenda mbele....mzeya tunakutegemea uchukie nobel prize kwa physic mwaka 2050 usituangushe
We jamaa😂🤣🤣 kuna masomo yamepoteza dira ambayo sio education. Mfano history, bios, geography, mathematics hayo utapauka hata pa kujitolea hawakuchukui hata ayo masomo sijui uwe assistant lecture au usome kwa manufaa ya kujiajiri na si kuajiriwa
 
We jamaa😂🤣🤣 kuna masomo yamepoteza dira ambayo sio education. Mfano history, bios, geography, mathematics hayo utapauka hata pa kujitolea hawakuchukui hata ayo masomo sijui uwe assistant lecture au usome kwa manufaa ya kujiajiri na si kuajiriwa
Bwana wewe hayo masomo ni kwa watu ambao wanataka kuvumbua vitu sio watu wanataka sijui kuendesha range rover mara kugegeda warembo wakali.
Hawa watu tunawahitaji mwanawane
 
Kha! Kweli wacha wadhungu waendelee kututawala.
Kama bodaboda anathaminiwa kuliko mtu wa bsc mathematics physics na chemistry...aloooo tz ni nchi ya wajinga tujikite kwenye ngono tuu na uchawa
MH mbn kazi ipo sasa
 
Kha! Kweli wacha wadhungu waendelee kututawala.
Kama bodaboda anathaminiwa kuliko mtu wa bsc mathematics physics na chemistry...aloooo tz ni nchi ya wajinga tujikite kwenye ngono tuu na uchawa
Yaani kivipi ett yan
 
Mdogo wangu kimbia hiyo coz tena udom huwez kuwa hata lecture sua au mzumbe bora uombe diploma yenye faida kama kwenu pesa ipo kasome ila kama hamna omba upya kabla dirisha la pili halijafungwa badili coz dogo omba ata account au BA kuliko hiyo voz tena udom walahi utapotea.
 
Sasa Kama vyuo vinatoa nafasi halafu tunapondea unadhani hiyo hali itaishaje wavumbuzi tunao vyuo tunavyo ila sijui watu tunafelia wapi
Wee uliona wapi donor country ikapuuza science nd tecnology?
Israel kila leo inawanya yasa wapalestina kwa sababu ya hiyo tuu.
Sie tunanya yasika kwa sababu hiyo tuu hatuna watu wakutufanyia uvumbuzi
Yaani tatizo nimesh confirm nikijaribu ku unconfirm inagoma
 
Mdogo wangu kimbia hiyo coz tena udom huwez kuwa hata lecture sua au mzumbe bora uombe diploma yenye faida kama kwenu pesa ipo kasome ila kama hamna omba upya kabla dirisha la pili halijafungwa badili coz dogo omba ata account au BA kuliko hiyo voz tena udom walahi utapotea.
Tatizo Nisha confirm nikijaribu ku unconfirm inagoma
 
Back
Top Bottom