kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
Kasoma ata mpishi veta sio mikozinya kijinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa😂🤣🤣 kuna masomo yamepoteza dira ambayo sio education. Mfano history, bios, geography, mathematics hayo utapauka hata pa kujitolea hawakuchukui hata ayo masomo sijui uwe assistant lecture au usome kwa manufaa ya kujiajiri na si kuajiriwaWewe kasome bwana nchi inahitaji watu kma nyie mzee mnashusha ma equations ya eistein pale...full matheory na namba kwa kwenda mbele....mzeya tunakutegemea uchukie nobel prize kwa physic mwaka 2050 usituangushe
Hayo matokeo yako ya kawaida saaana sana dogo na mbali na hapo hiyo kozi unaenda kupoteza muda kasome ardhi QS.
Bwana wewe hayo masomo ni kwa watu ambao wanataka kuvumbua vitu sio watu wanataka sijui kuendesha range rover mara kugegeda warembo wakali.We jamaa😂🤣🤣 kuna masomo yamepoteza dira ambayo sio education. Mfano history, bios, geography, mathematics hayo utapauka hata pa kujitolea hawakuchukui hata ayo masomo sijui uwe assistant lecture au usome kwa manufaa ya kujiajiri na si kuajiriwa
Asome hiyo Physics ili afanye kitu gani na imejaa theory tu. Dude kubwa atafika nalo pale labda Quantum mechanics ambalo kibongo bongo halina applications.Soma hio nzuri sana
Physics ndio baba lao,
Ukienda ualimu unaenda kujitia umasikini
Kha! Kweli wacha wadhungu waendelee kututawala.Kabisa Bora Boda boda
Bro mie nakwambia ukweli...kama wee unataka kiendesha range rover sijui kumgegeda wolper, achana na hiyo kozi.MH mbn kazi ipo sasa
Wee uliona wapi donor country ikapuuza science nd tecnology?Yaani kivipi ett yan
Yaani tatizo nimesh confirm nikijaribu ku unconfirm inagomaWee uliona wapi donor country ikapuuza science nd tecnology?
Israel kila leo inawanya yasa wapalestina kwa sababu ya hiyo tuu.
Sie tunanya yasika kwa sababu hiyo tuu hatuna watu wakutufanyia uvumbuzi
Tatizo Nisha confirm nikijaribu ku unconfirm inagomaMdogo wangu kimbia hiyo coz tena udom huwez kuwa hata lecture sua au mzumbe bora uombe diploma yenye faida kama kwenu pesa ipo kasome ila kama hamna omba upya kabla dirisha la pili halijafungwa badili coz dogo omba ata account au BA kuliko hiyo voz tena udom walahi utapotea.
Hiyo kozi ulichagua ama ulichaguliwa?Aisee yaani miongoni mwa vipindi vigumu ni hich kipindi ni kigumu sana
Kwa pale UDOM vipi koz gani unanishaur?Bro mie nakwambia ukweli...kama wee unataka kiendesha range rover sijui kumgegeda wolper, achana na hiyo kozi.
Lakini kama wataka uvumbue vitu, umwage namba na kuja na theories mpya jikite huko but only if its ur passion.
Sasa kapambane na hali yako usha confirm afu unauliza nini nenda kakomae uje kuwa mwalimu wa physics kijana.Tatizo Nisha confirm nikijaribu ku unconfirm inagoma