Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache! Aende akaishi kwenye jehanam ya DuniaKuwa engenieer au kitu kingine utakuja nikumbuka ukisema wewe ni mwalimu hata wachumba watakukimbia wanacheleshewa mishara wako kama mapolisi mishahara yao ya mashaka Mpwayungu Village angalia huyu anataka kuingia kwenye moto ulao
Hio ndo mbaya zaidi, bora ualimu wa physics kuliko kusoma BSc Physics pureSoma hio nzuri sana
Physics ndio baba lao,
Ukienda ualimu unaenda kujitia umasikini
Mwambieni huyoShida ya uaalimu hauna maokoto
Bora hata polisi
NImekugeti brotherHata hiyo two wenda uliipata kwa kuibia.
Kweli pcb nzima unachagua kozi ambayo huijui?
Hata pale kcmc hujapata kozi yoyote?
KWa two yako ulishindwa hatakuomba building economics, architecture, geomatics, irrigation ya sua? Hata environmental engineering hukuona? Hata land valuation?
Hiyo phy ungekua uko USA au ulaya au asia ndio ningekuelewa.
Utapoteza muda kusoma vitu ambavyo hupendi uje uanze kutusubua badae.
Badilisha kozi kama haifai acha chuo uombe tena mwakani. Bora upoteze mwaka mmoja kuliko miaka3.
Kwamba siku hizi PCB 'singo dijiti' nyingi sana?Hayo matokeo yako ya kawaida saaana sana dogo na mbali na hapo hiyo kozi unaenda kupoteza muda kasome ardhi QS.
Soma kwanza si lazima ufanye kazi kwa kutumia taaluma uliyosomeaHaina ias
Vipi kuhusu soko baada ya kuhitimu brother