Pesa sina ila wataenda kudanga kwa wenye hela na vitambi kuwachuna na kunileteaPesa unayo, wanataka pesa hao
Tulia weweeeHaya
Sisi tunahongwa tunapewa hela zenu mnazoonga.Bila pesa ya maana, gari na mijengo hizo six pack zako ni sawa sawa na chuchu tu.
Pesa sina ila wataenda kudanga kwa wenye hela na vitambi kuwachuna na kuniletea
Leejay49 😂Kama unafanya vitu kwa lengo la kuwaridhisha wasichana mbona kibarua umepata😃😃
Kwakweli hii ni walking problem.. Yani anaacha atafute hela yeye anatafuta six Packs 😂😂Leejay49 😂
Sasa huyu mwenzetu anafanya hivi ili, this is walking problem 🤣🤣
Tunasix pack hapa umeiona ??