Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issa weekend though 👀Nina hasira ,natamani kukutafuna hayo mashavu.
Tried callin......but no diceIssa weekend though 👀
Whatsapp au normal calls?Tried callin......but no dice
Normal,asubuhi na mchana .Whatsapp au normal calls?
Wapalestina huko wanabondwa na wateule Gaza. Mmebaki kupiga porojo tu jamvin.Umelipia tangazo??
Maybe network ila ipo on air😢Normal,asubuhi na mchana .
Kuna vitu vinaniumiza maini ni vile tu sijapata muda wa kulalamika
Na unafahamu siwezi lalamika hapa .
Mkuu wewe viga madevu mengi mengi hivo hivo kuna tunaopenda, achana na six packs 😀Mkuu kama hutojali share mazoezi uliokuwa unafanya kama ni gym au ya viungo kama push ups n.k na umefanya ndani ya mda gan,pia share picha before an after...maana na mm nimeanza mazoezi mwaka huu
Tafadhali siku nyingine ukijinadi namna hii tunaomba na sisi mafisi utuonyeshe makalio huko nyuma. Kumbuka, uko mnadani hapa na mafisi tupo tunaangalia wapi pa kwenda kula.Inakuwaje wanajamvi.
Hatimae imetimia. Practice makes perfect. After a painstaking effort, determination and genuine will six packs zimeanza kujitokeza.
Nimejituma sana kufanya mazoezi na imelipa.
Ninatangaza rasmi kwa madem hatimae nina six packs. Nawatangazia furaha viumbe hawa.
Am officially declaring permanent happiness to girls outside there.
View attachment 2870793
Safi sana arifff
Atafute sugar mommy humu mi ngumu kupataSijui tutakula six packs sasa🥴?
Mkuu wewe viga madevu mengi mengi hivo hivo kuna tunaopenda, achana na six packs [emoji3]
Endelea na midevu mkuu six packs hatupendi shauri yakoHahahaha mkuu ndevu zipo za kutosha sasa nataka seven pack ili niwe full package[emoji23]
SayngayTafadhali siku nyingine ukijinadi namna hii tunaomba na sisi mafisi utuonyeshe makalio huko nyuma. Kumbuka, uko mnadani hapa na mafisi tupo tunaangalia wapi pa kwenda kula.
Mjukuu wa Chief mingungo wa mvomeroNaona umesahau kumeza dawa mjukuu. Au zimekuishia?
We mwehu unaanzisha uzi na kujijibu mwenyewe?Safi sana arifff
Mangungo wa MsoveroMjukuu wa Chief mingungo wa mvomero
Mbusii mbusiiiiiiiMangungo wa Msovero