Nina hamu ya kuolewa ila sipati mtu aliye na utayari

Nina hamu ya kuolewa ila sipati mtu aliye na utayari

Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Kwa style hiyo ya kupika na kucheza singel hautompata
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Kama mahari utanilipia mi niko tayari kukuoa
 
Nina sifa zote ila 29 Bado Alafu Napenda kudeka [emoji41][emoji41]
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
mm nina miaka 60 kamacunapendackucheza mziki na kupika tu basi uni PM
 
h⃜a⃜h⃜a⃜h⃜a⃜h⃜a⃜ k⃜u⃜m⃜b⃜e⃜e⃜ h⃜e⃜b⃜u⃜. n⃜i⃜ p⃜m⃜ k⃜w⃜a⃜n⃜z⃜a⃜ n⃜i⃜k⃜u⃜t⃜e⃜l⃜l⃜ k⃜i⃜t⃜u⃜
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
0656328286
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Dhana ya kuonja kabla,itazame kwa mapana yake.
 
Tatizo lenu anapokuja mtu kuposa mnaangalia aña uwexo gani na anamiliki nini na umri unapowatupa mkono mnaanza kuuliza yeyote yule na vigezo vyenu uchwara, usichana wenu mmeumalizia kwa kumaliza mabanda ya bata, leo hii mnataka kisamvu kwa lazima, poleni sana.
 
Tatizo ni kwamba hamfahamu wanaume wanahitaji nini kwa mwanamke isipokuwa mnahitaji mwanaume afanye mnayotaka nyie.
Lakini bado hamjachelewa, read between lines my dadas.
 
Back
Top Bottom