Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,107
Pumbavu nyie ndo mkipataga waume wa kuwaoa ndani mnaruka Kama vitenesi.... Kaa hivyo ili iwe fundisho kwa wengine. Tuliwahi kudanganywa na wenzako Kama hivi tukaoa, Kama nisingekuwa na mpenzi wangu wa pembeni bia (safari ndogo) ningeshakufa kwa stress.