Nina hamu ya kuolewa ila sipati mtu aliye na utayari

Nina hamu ya kuolewa ila sipati mtu aliye na utayari

Pumbavu nyie ndo mkipataga waume wa kuwaoa ndani mnaruka Kama vitenesi.... Kaa hivyo ili iwe fundisho kwa wengine. Tuliwahi kudanganywa na wenzako Kama hivi tukaoa, Kama nisingekuwa na mpenzi wangu wa pembeni bia (safari ndogo) ningeshakufa kwa stress.
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Kwakurahisisha mambo ebu tupe your physical appearance kwanza mambo ya ndani ya mtu tutayajua hpo bdae naomba tuanzie hpo
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Nambie
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Sema sasa na wewe kama mrefu au mfupi, maji ya kunde au mweupe/mweusi, una chura au huna?
ukiweka vigezo weka na vyako maana wanaume pia tuna vitu tunahitaji!
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Uko wapi
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.

Dah, nakuombea ufanikiwe na usibadilike, mnasema hivi ila mkiingia ndani hamueleweki kabisa.
 
huna utayar wa kuwa mke ,,bali unahamu ya kuolewa ...jaribu kutofautisha hivyo vitu then ukikaa sawa ndo utapata mume sahihi kwako
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Njoo nikuoe nihamu ya kuoa sipati mwanamke wakunifaa
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Eti awe mrefu mweupe!! shwenziii kabisa.

Kwa mwanaume mwenye akili timilifu hata kama ana hivyo vigezo vyako visivyokuwa na kichwa wala miguu hawezi kuchukua mwanamke wa sampuli yako na kumfanya mke.
 
Back
Top Bottom