Nina hamu ya kuolewa ila sipati mtu aliye na utayari

Nina hamu ya kuolewa ila sipati mtu aliye na utayari

Daaahhh huwa tunashinwana ktk vigezo

Mngekuwa mnawasiliaana na Wachina watengeneze watu wenye vigezo mtakavyo
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Uko poa
 
mimi sijui nna nux gani maana tangu nianze kuingia humu sijawahi kukuta vigezo nnavyokuwa navyo nna ambulia kwenye elimu tu vingine vyote hola sasa mimi mfupi halafu mweusi sijui ntamuoa nani maana kila mtu anataka mrefu mweupe hila poa nna imani ukifika miaka 28 vigezo vitapungua.
 
mimi sijui nna nux gani maana tangu nianze kuingia humu sijawahi kukuta vigezo nnavyokuwa navyo nna ambulia kwenye elimu tu vingine vyote hola sasa mimi mfupi halafu mweusi sijui ntamuoa nani maana kila mtu anataka mrefu mweupe hila poa nna imani ukifika miaka 28 vigezo vitapungua.
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Mama yangu! kweli dunia inaelekea mrama. Sasa wewe mdada hivyo vigezo ulivyoweka hapo mbona vinakinzana na vya mtu unaemtafuta? Wewe tuliza akili na waza kwanza kuhusu maisha yako ya mbeleni na sio mambo ya kuja hapa kulalamika tena ooo.. yule niliyempata mara haachi hela ya matumizi, mara anachepuka ...oooo naomba ushauri..... Wewe dogo kama nakuona vile tuliza akili mwombe mungu kwa nguvu zakao zote akupe mtu wa kufanana nae na sio MAMBO YA KUSEMA OOOO... UNA HAMU... unafikiri kuolewa ni sawa na hamu nyingine za chipsi kuku, soda, baga, ..................saasawa
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Nitumie Private Message
 
Hapo sasa naamini nimepata mke mwema njoo ni Pm tuongee mengine yamziki hayo yanaisha baada ya kukaa ndani..
Kama upo serous lakini.. Nitafute
 
Mama yangu! kweli dunia inaelekea mrama. Sasa wewe mdada hivyo vigezo ulivyoweka hapo mbona vinakinzana na vya mtu unaemtafuta? Wewe tuliza akili na waza kwanza kuhusu maisha yako ya mbeleni na sio mambo ya kuja hapa kulalamika tena ooo.. yule niliyempata mara haachi hela ya matumizi, mara anachepuka ...oooo naomba ushauri..... Wewe dogo kama nakuona vile tuliza akili mwombe mungu kwa nguvu zakao zote akupe mtu wa kufanana nae na sio MAMBO YA KUSEMA OOOO... UNA HAMU... unafikiri kuolewa ni sawa na hamu nyingine za chipsi kuku, soda, baga, ..................saasawa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]
 
Mama yangu! kweli dunia inaelekea mrama. Sasa wewe mdada hivyo vigezo ulivyoweka hapo mbona vinakinzana na vya mtu unaemtafuta? Wewe tuliza akili na waza kwanza kuhusu maisha yako ya mbeleni na sio mambo ya kuja hapa kulalamika tena ooo.. yule niliyempata mara haachi hela ya matumizi, mara anachepuka ...oooo naomba ushauri..... Wewe dogo kama nakuona vile tuliza akili mwombe mungu kwa nguvu zakao zote akupe mtu wa kufanana nae na sio MAMBO YA KUSEMA OOOO... UNA HAMU... unafikiri kuolewa ni sawa na hamu nyingine za chipsi kuku, soda, baga, ..................saasawa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
CV yako yenyewe ndo hiyo Kucheza mziki....haha at least kupika kidogo....yaan unavigezo vichache AF unataka mwanaume mwenye sifa nyingi....we ebu rudi ukajievaluate...at least useme ilimrad mwanaume
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Njoo pm
 
Ila mademu wa kutafuta wapenzi mitandaoni wengi ni sura ngumu..yani hawatongozeki mtaani!!
 
Back
Top Bottom