Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Chaguaaa wakati una miaka 26 ngoja ikifika 29 to 30 utarudi na uzi unaosema Natafuta mwanaume anaedinda tu bass umri,rangi na kimo tutavumiliana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi nashangaa, vigezo kibaoooMapenz sikuiz hadi rangi ya mtu inaangaliwa?, eh Mungu ulivomaliza uumbaji kwa macho yako uliona kila kitu ni kizuri ...
Leo tunachaguana kwa rangi;, urefu, elimu, kabila ..
Uko poaUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] polemimi sijui nna nux gani maana tangu nianze kuingia humu sijawahi kukuta vigezo nnavyokuwa navyo nna ambulia kwenye elimu tu vingine vyote hola sasa mimi mfupi halafu mweusi sijui ntamuoa nani maana kila mtu anataka mrefu mweupe hila poa nna imani ukifika miaka 28 vigezo vitapungua.
Mama yangu! kweli dunia inaelekea mrama. Sasa wewe mdada hivyo vigezo ulivyoweka hapo mbona vinakinzana na vya mtu unaemtafuta? Wewe tuliza akili na waza kwanza kuhusu maisha yako ya mbeleni na sio mambo ya kuja hapa kulalamika tena ooo.. yule niliyempata mara haachi hela ya matumizi, mara anachepuka ...oooo naomba ushauri..... Wewe dogo kama nakuona vile tuliza akili mwombe mungu kwa nguvu zakao zote akupe mtu wa kufanana nae na sio MAMBO YA KUSEMA OOOO... UNA HAMU... unafikiri kuolewa ni sawa na hamu nyingine za chipsi kuku, soda, baga, ..................saasawaUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Nitumie Private MessageUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]Mama yangu! kweli dunia inaelekea mrama. Sasa wewe mdada hivyo vigezo ulivyoweka hapo mbona vinakinzana na vya mtu unaemtafuta? Wewe tuliza akili na waza kwanza kuhusu maisha yako ya mbeleni na sio mambo ya kuja hapa kulalamika tena ooo.. yule niliyempata mara haachi hela ya matumizi, mara anachepuka ...oooo naomba ushauri..... Wewe dogo kama nakuona vile tuliza akili mwombe mungu kwa nguvu zakao zote akupe mtu wa kufanana nae na sio MAMBO YA KUSEMA OOOO... UNA HAMU... unafikiri kuolewa ni sawa na hamu nyingine za chipsi kuku, soda, baga, ..................saasawa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]Mama yangu! kweli dunia inaelekea mrama. Sasa wewe mdada hivyo vigezo ulivyoweka hapo mbona vinakinzana na vya mtu unaemtafuta? Wewe tuliza akili na waza kwanza kuhusu maisha yako ya mbeleni na sio mambo ya kuja hapa kulalamika tena ooo.. yule niliyempata mara haachi hela ya matumizi, mara anachepuka ...oooo naomba ushauri..... Wewe dogo kama nakuona vile tuliza akili mwombe mungu kwa nguvu zakao zote akupe mtu wa kufanana nae na sio MAMBO YA KUSEMA OOOO... UNA HAMU... unafikiri kuolewa ni sawa na hamu nyingine za chipsi kuku, soda, baga, ..................saasawa
CV yako yenyewe ndo hiyo Kucheza mziki....haha at least kupika kidogo....yaan unavigezo vichache AF unataka mwanaume mwenye sifa nyingi....we ebu rudi ukajievaluate...at least useme ilimrad mwanaumeUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Njoo pmUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.