Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Endelea kuwa selective hivyo hivyo wanaume utabaki kuwaona kwenye notes za biology topic ya reproduction
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]Vigezo vyako ukifika 30th utamtaka wa rangi yeyote tena kwa msisitizo utasema unapenda weusi.
bila bikra anafaa kwa matumizi ya kawaida tu ila hana issue kuolewaAitolee wapi
je na wewe ni mrefu,maji ya kunde,mjasiriamali msafi mwili na roho.... sio unatuwekea vigezo kumbe we ndo kiazi zaid..[emoji1] [emoji1]Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Habari mrembo, mm karibu vigezo vyote Nina, naomba masiliano yako ya simu ili tuweze kuwasilianaUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Mrefu ndio nini ? Mimi nina sentimeta 168Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.