Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Aache wivu,kama anapendwa inatosha,vipi amchimbe mwenzie kiasi hicho,vipi kama ana mishezingine kabla ya safari yenyewe,sii kila kitu lazima kila mtu ajue.si ungemuuliza? mume wako unamuogopa?
Angeenda kitunda kwa ashura ndio habari yake ingekuwa imeishaAngesema umdrop banana apo ndio ingebid uwe na wenge maana angepanda daladala za kitunda kuelekea kwa pisi yake ya huko
Jamani labda ni wivu umenizidi au labda ni umbumbumbu.
Mume wangu wiki nzima amekuwa na maandalizi ya safari ya kikazi Nairobi. Tunapendana na kuheshimiana sana pia na kuaminiana.
Leo alikuwa anaondoka na ndege ya alfajiri, nikampeleka airport, nilipokuwa nataka kuingia Terminal lll akasema nyosha, twende Terminal ll.
Nikawa speechless, nimepigwa na butwaa na mshangao, inakuwaje aende Terminal ll wakati hiyo ni kwa ajili ya local flights?
Ninachojua Terminal lll ni kwa ajili ya International flights.
Ndugu zangu, naomba mnisaidie, nina huzuni sana moyoni, naombeni mawaidha yenu nisije nikawa namhukumu kwa ubaya baba wa watu bure
Mbona watu wengi wanapasema shekilango..vipi Pana nini paleAlikosea sana alitakiwa kukuambia umshushe shekilango maana huwezi muuliza.
Kuna lango linalo sheki😁Mbona watu wengi wanapasema shekilango..vipi Pana nini pale
Precision inaenda NairobiJamani labda ni wivu umenizidi au labda ni umbumbumbu.
Mume wangu wiki nzima amekuwa na maandalizi ya safari ya kikazi Nairobi. Tunapendana na kuheshimiana sana pia na kuaminiana.
Leo alikuwa anaondoka na ndege ya alfajiri, nikampeleka airport, nilipokuwa nataka kuingia Terminal lll akasema nyosha, twende Terminal ll.
Nikawa speechless, nimepigwa na butwaa na mshangao, inakuwaje aende Terminal ll wakati hiyo ni kwa ajili ya local flights?
Ninachojua Terminal lll ni kwa ajili ya International flights.
Ndugu zangu, naomba mnisaidie, nina huzuni sana moyoni, naombeni mawaidha yenu nisije nikawa namhukumu kwa ubaya baba wa watu bure
Airport ya vindege vidogo boss. Viairbus.Mbona watu wengi wanapasema shekilango..vipi Pana nini pale
Precision air wanaenda Nairobi na bado wanatumia terminal 2Jamani labda ni wivu umenizidi au labda ni umbumbumbu.
Mume wangu wiki nzima amekuwa na maandalizi ya safari ya kikazi Nairobi. Tunapendana na kuheshimiana sana pia na kuaminiana.
Leo alikuwa anaondoka na ndege ya alfajiri, nikampeleka airport, nilipokuwa nataka kuingia Terminal lll akasema nyosha, twende Terminal ll.
Nikawa speechless, nimepigwa na butwaa na mshangao, inakuwaje aende Terminal ll wakati hiyo ni kwa ajili ya local flights?
Ninachojua Terminal lll ni kwa ajili ya International flights.
Ndugu zangu, naomba mnisaidie, nina huzuni sana moyoni, naombeni mawaidha yenu nisije nikawa namhukumu kwa ubaya baba wa watu bure
Sasa wasiwasi wa nini tena?Kauli ilikata, niko naye huru sana na ni rafiki mwema kwangu