Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
Bwana katika kujibana kwangu katika maisha ya shule nilijibana mpaka shilingi 500,000 tu.
sasa hio pesa nilijibana ninunue simu, nikanunua hio simu sasa kumbe hio simu imefungiwa netwek apa tz. nimekaa nayo tu hapa kama camera!
Kweli roho inaniuma ukizingatia nimejinyima saana na hii ni hasara kubwa kwangu!
waheshimiwa sasa nashindwa ku concetrate na masomo nawaza tu hio loss niloipata,,,yaani nikiikumbuka nakosa amani!
Je Ninyi mlifanya nini kukabiliana na stress mlizopata baada ya kupata Hasara? Je na Mimi Nifanye ni ili nirudi katika hali yangu ya kawaida Je?
sasa hio pesa nilijibana ninunue simu, nikanunua hio simu sasa kumbe hio simu imefungiwa netwek apa tz. nimekaa nayo tu hapa kama camera!
Kweli roho inaniuma ukizingatia nimejinyima saana na hii ni hasara kubwa kwangu!
waheshimiwa sasa nashindwa ku concetrate na masomo nawaza tu hio loss niloipata,,,yaani nikiikumbuka nakosa amani!
Je Ninyi mlifanya nini kukabiliana na stress mlizopata baada ya kupata Hasara? Je na Mimi Nifanye ni ili nirudi katika hali yangu ya kawaida Je?