Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Store ipi hiyo? Toa ushauri tafadhali [emoji28]
Ya vinywaji nikuuzie [emoji1787][emoji1787]
Ushauri si ushatoa boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Store ipi hiyo? Toa ushauri tafadhali [emoji28]
Acha usenge jomba. Mama yako ndo anajua kama mimi ni Madam...Madam hua unapenda kupaniki.
Nakushukuru sana Dada Jane. Huu ushauri ninaubeba jumla. Hapana mimi ni ME.. hiyo ID yangu ipo tu kimkakati.Ungemalizia kabisa wakija Jane wote peponi
Hapo lazima ziwe pisi mbili matata sana halafu zisiwe za kwenye eneo Hilo ka tafute kwingine kabisa,wa train wawe expensive wao Kama wao kuanzia pamba, kusuka sijui swaga zile zooote wawe nazo wasisahau kuwa charming kwa wateja wasiwe visirani na usichukue low brain
Chukua wale ambao mteja akija apate more than pombe sijui umeelewa ?? Elewa more than pombe
Mfano hapo 'mteja anakuja na swaga za mpira umo,swaga za siasa umo,swaga sijui za ma celebs umo,swaga za kiswahili umo"
Mara nyingi wale wateja wako potential huwa financially vzr na wanapokuja sehemu Kama hizo wanatafuta relief yakuishi sijui umeelewa?
Haya Kila la kheri na wewe Kama KE HAKIKISHA unakuwa alwatan kwenye eneo lako hapo kivyovyote vile itakuwa more than liquor store
Uniuzieje mimi sinunui ila kama unvyo unauza sawa nikutaftie wateja.Ya vinywaji nikuuzie [emoji1787][emoji1787]
Ushauri si ushatoa boss
Boss tafadhali ongezea nyama kidogo. Kwa kweli hii naweza nikaianza hata kesho kwa sababu nina duka la nguo lenye nafasi kubwa.Ya kushona ...nunua mapazia Kwa jumla ...Majora Yale hao mafundi kazi Yao kuyashonea Kwa mujibu wa vipimo...utapiga hela Hadi ukimbie
Ukija dar nenda pale mahakama ya kisutu ...halafu uliza wenyewji wapi wanauza pazia...tembelea hapo ...nje utaona wamama wamejazana Hadi Tanganyika library wanashona hizo paziaBoss tafadhali ongezea nyama kidogo. Kwa kweli hii naweza nikaianza hata kesho kwa sababu nina duka la nguo lenye nafasi kubwa.
😆😆mbna umepaniki mama samia hadi matusi kuwa mpole dada wengine wanapenda kumtoa mtu mchezon hata kama umekuja na mada ya maana wavumilie tu 🤣Acha usenge jomba. Mama yako ndo anajua kama mimi ni Madam...
Asante sana mkuu karibu TenaNakushukuru sana Dada Jane. Huu ushauri ninaubeba jumla. Hapana mimi ni ME.. hiyo ID yangu ipo tu kimkakati.
Mkuu hii ID yangu ipo tu kimkakati na sio kwamba mimi ni mwanamke.😆😆mbna umepaniki mama samia hadi matusi kuwa mpole dada wengine wanapenda kumtoa mtu mchezon hata kama umekuja na mada ya maana wavumilie tu 🤣
Ila Mama yetu una hasira Sana.Acha usenge jomba. Mama yako ndo anajua kama mimi ni Madam...
Madini mazuri Sana ..umenikosha Sana hapo more than pombe more than pombe ......Ungemalizia kabisa wakija Jane wote peponi
Hapo lazima ziwe pisi mbili matata sana halafu zisiwe za kwenye eneo Hilo ka tafute kwingine kabisa,wa train wawe expensive wao Kama wao kuanzia pamba, kusuka sijui swaga zile zooote wawe nazo wasisahau kuwa charming kwa wateja wasiwe visirani na usichukue low brain
Chukua wale ambao mteja akija apate more than pombe sijui umeelewa ?? Elewa more than pombe
Mfano hapo 'mteja anakuja na swaga za mpira umo,swaga za siasa umo,swaga sijui za ma celebs umo,swaga za kiswahili umo"
Mara nyingi wale wateja wako potential huwa financially vzr na wanapokuja sehemu Kama hizo wanatafuta relief yakuishi sijui umeelewa?
Haya Kila la kheri na wewe Kama KE HAKIKISHA unakuwa alwatan kwenye eneo lako hapo kivyovyote vile itakuwa more than liquor store
Unajiita mama samia afu ukiitwa Madam unakataa,ajabu sana hii.Mkuu hii ID yangu ipo tu kimkakati na sio kwamba mimi ni mwanamke.
Jiheshimu.Unajiita mama samia afu ukiitwa Madam unakataa,ajabu sana hii.
aaah apo sawa MAMA YUPO KAZINIMkuu hii ID yangu ipo tu kimkakati na sio kwamba mimi ni mwanamke.
Point yangu haikua mbaya ,ila watu wengine upumbavu mwingi lengo langu ni hili.Elimu inaingiaje kwenye biashara mkuu
Embu nieleweshe mpendwa wangu
Sitakutukana kwasababu umechagua kua mpumbavu.Peleka ujinga huko.
punguza ujuaji wa kifalaSitakutukana kwasababu umechagua kua mpumbavu.