Nina ideas mbili za biashara nataka nianze na moja. Tafadhali nishaurini

Peponi siti ya mbele pembeni ya Ibrahim.
 
Sasa hayo maelezo vina uhusiano gani na level ya elimu,wasomi wengine vilaza kweli

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Go fabric
 
Wewe jamaa ni mtu mjinga mno. Kwa hiyo Bakresa ana elimu ya biashara zake zote? Haya mawazo yako ni ya kimaskini.
 
Nimekuelewa sana nadhani ulivyoanza hivyo ndo imekuwa shida kidogo
Lakin kwenye biashara kuna teamwork kama kitu huna taaluma nacho basi teamwork yako hakikika inaweza kukupelekea ukafanikisha

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…