mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 996
- 2,636
Hio kwenye picha sio iphone 5
By the way hutopata whatsapp, itumie kama kiswaswadu tu
By the way hutopata whatsapp, itumie kama kiswaswadu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iPhone zinarun iOS haina uhusiano na ulichokitaja hapo.Hivi iphone ndio generation za Ubuntu??
Ok SAWA kama ndivyo Kuna tofauti Gabi kati ya Linux na Ubuntu
Wakuu msaada hapa. Nimepewa simu na rafiki Ang nashindwa kufanya mambo kiwa mepesi simu yenyewe ni hii.View attachment 2620410
Msaada wenu
Whatsapp unaweza kuweka mpaka kwenye iphone 5s kupanda chakufanya tafuta iclound a/c ya mtu aliewai download whatsapp kwenye iphone ingine log in kwenye appstore yako then search whatsapp download itakubali vizuri tu
Iphone 5 na Iphone 5s zinatumia chip tofauti
Nadhani Chip ya iphone 5 haisapoti wasap ila ya iphone 5s bado inajigongoja
pia nawewe upo wrong hamnaga ios 12.6.1 pili hyo ios ya 12 inapata whatsapphapana bado iphone 5 na 5s inapokea whatsapp ila kwa njia za nyuma ya mlango.
maana ios 12.6.1 haina whatsapp appstore.
pia nawewe upo wrong hamnaga ios 12.6.1 pili hyo ios ya 12 inapata whatsapphapana bado iphone 5 na 5s inapokea whatsapp ila kwa njia za nyuma ya mlango.
maana ios 12.6.1 haina whatsapp appstore.
Out of service.... hamna uhusiano kati ya ios na ubuntu... ios ni mfumo wa iphone na Ubuntu ni Operation za computer hambayo haiwezi ku run kwenye simu hvyo hvyo linuxHivi iphone ndio generation za Ubuntu??
Ok SAWA kama ndivyo Kuna tofauti Gabi kati ya Linux na Ubuntu
pia nawewe upo wrong hamnaga ios 12.6.1 pili hyo ios ya 12 inapata whatsapp
utofauti wao nikwamba Linux ni Core operation system huku Ubuntu inakuwa imetokea kwenye hyo hyo Linux.... pia linux unaweza tumia hata kwenye Game ConsoleHivi iphone ndio generation za Ubuntu??
Ok SAWA kama ndivyo Kuna tofauti Gabi kati ya Linux na Ubuntu
pia zinaweza zikafanya kazi kama shida unayo wewe nicheki pmyah ni facebook na twitter hazikubali.
pia zinaweza zikafanya kazi kama shida unayo wewe nicheki pm
Wakuu msaada hapa. Nimepewa simu na rafiki Ang nashindwa kufanya mambo kiwa mepesi simu yenyewe ni hii.View attachment 2620410
Msaada wenu
Kwa maana kwamba hazikubali apps ?
Unamkuta mtu na ki-iphone 6 chake cha 2015 huko hataki hata kukiweka mfukoni..
Wakuu msaada hapa. Nimepewa simu na rafiki Ang nashindwa kufanya mambo kiwa mepesi simu yenyewe ni hii.View attachment 2620410
Msaada wenu