Ubaya wa iPhone zinajulikana kirahisi tu unajua hii ya kitambo tofauti na Nokia yangu hapa Kama sio mfatiliaji huwezi just ya mwaka gani Nokia 7.2 na 5.4 ninaweza danganya na wasijue natumia simu ya sh ngap na mwaka gani
Sasa wenzake wako iphne 14 yeye hata kwenye 6 hajafika 😂
Sio whatsp tuu hata twiter haitaki mi mwenyewe ninayo naitumia ila whatsap ipo na fb na inst ila kuna jamaa aliniambia siku nikonichanganya nifute app mojawapo nikijaipalua ndio niisahau