Nina kama Milioni 5 nifanye mchongo gani wa biashara?

Nina kama Milioni 5 nifanye mchongo gani wa biashara?

felakuti

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
659
Reaction score
1,207
Wakuu

Naomben mawazo yenu, mimi sihitaji zile official business sijui unafungua duka unauza, hapana

Ningependa nipate ile michongo flan unakuta unaenda labda kununua bidhaa sehem flani na uhakika wa soko upo wewe ni ku deliver mzigo unachukua chako na faida juu, unachukua order

Tafadhali tusaidiane wadau tupeane fursa hizi, huwezi jua huko mbeleni tunaweza kushirikiana mambo makubwa
 
Unataka ufanye hivi.

Mfano unaenda morogoro unanunua bidhaa unaleta dar unauza .

Hizi mishe zinalipa Ila zinapenda uwe active and timing.

Najua wapo wadau ndo Kazi zao watakuja kukupa ideas
Yes bro, mishe za namna hio ndio napenda na zina hela, kukaa dukani kusubir wateja siwez kabisa mkuu..
 
Back
Top Bottom