Nina kama Milioni 5 nifanye mchongo gani wa biashara?

Nina kama Milioni 5 nifanye mchongo gani wa biashara?

Wakuu

Naomben mawazo yenu, mimi sihitaji zile official business sijui unafungua duka unauza, hapana

Ningependa nipate ile michongo flan unakuta unaenda labda kununua bidhaa sehem flani na uhakika wa soko upo wewe ni ku deliver mzigo unachukua chako na faida juu, unachukua order

Tafadhali tusaidiane wadau tupeane fursa hizi, huwezi jua huko mbeleni tunaweza kushirikiana mambo makubwa
Mpe Man City
Mpe Chelsea .... Agiza kupenda roho ...
Tia milioni hiyo odds 1.94 return 1,900,000.
 
Wakuu

Naomben mawazo yenu, mimi sihitaji zile official business sijui unafungua duka unauza, hapana

Ningependa nipate ile michongo flan unakuta unaenda labda kununua bidhaa sehem flani na uhakika wa soko upo wewe ni ku deliver mzigo unachukua chako na faida juu, unachukua order

Tafadhali tusaidiane wadau tupeane fursa hizi, huwezi jua huko mbeleni tunaweza kushirikiana mambo makubwa
Mkuu kama unania kweli ya kufanya kazi kwa huo mtaji ulionao, tena niseme hiyo pesa ni kubwa sana kama mtaji. Nitafute PM.
Hautajutia kama unania
 
Afu mil 5 hana cha kuifanyia, kajinga ....
Mtoto aliezaliwa kama wewe unawezaje kumuita mjinga? Kwamba mama yake alizaa mjinga? Wewe ungeitwa mbwa ungejiskiaje..heshima kitu cha bure. Kama.huna la kuchangia bora kukaa kimya ndio ustaarabu kuliko kutukanawatu na kujiona mwamba.
 
Mtoto aliezaliwa kama wewe unawezaje kumuita mjinga? Kwamba mama yake alizaa mjinga? Wewe ungeitwa mbwa ungejiskiaje..heshima kitu cha bure. Kama.huna la kuchangia bora kukaa kimya ndio ustaarabu kuliko kutukanawatu na kujiona mwamba.
Usichukulie mambo serious sana kijana, mi na huyo jamaa tunajuana....we endelea na mambo yako
 
Back
Top Bottom