Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kweli milion 5 hela ya juice ya miwa tu hiyo haifanyi chochoteMkuu sasa million tano atafanya biashara gani hapo..
Mbona wabongo mna majungu hivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli milion 5 hela ya juice ya miwa tu hiyo haifanyi chochoteMkuu sasa million tano atafanya biashara gani hapo..
Mbona wabongo mna majungu hivo
Kweli milion 5 hela ya juice ya miwa tu hiyo haifanyi chochote
Mpe Man CityWakuu
Naomben mawazo yenu, mimi sihitaji zile official business sijui unafungua duka unauza, hapana
Ningependa nipate ile michongo flan unakuta unaenda labda kununua bidhaa sehem flani na uhakika wa soko upo wewe ni ku deliver mzigo unachukua chako na faida juu, unachukua order
Tafadhali tusaidiane wadau tupeane fursa hizi, huwezi jua huko mbeleni tunaweza kushirikiana mambo makubwa
Ningetoa ushauri ila nishakuona Bora niendelee Kula nyama za sikukuuMkuu sasa million tano atafanya biashara gani hapo..
Mbona wabongo mna majungu hivo
Huyu jamaa ni mtoto WA kishua .kwake kila kitu hakiwezekaniki.Ushaanza we jamaa na mitaji yako isiotoshaga
Mkuu kama unania kweli ya kufanya kazi kwa huo mtaji ulionao, tena niseme hiyo pesa ni kubwa sana kama mtaji. Nitafute PM.Wakuu
Naomben mawazo yenu, mimi sihitaji zile official business sijui unafungua duka unauza, hapana
Ningependa nipate ile michongo flan unakuta unaenda labda kununua bidhaa sehem flani na uhakika wa soko upo wewe ni ku deliver mzigo unachukua chako na faida juu, unachukua order
Tafadhali tusaidiane wadau tupeane fursa hizi, huwezi jua huko mbeleni tunaweza kushirikiana mambo makubwa
Afu mil 5 hana cha kuifanyia, kajinga ....Huyo jamaa leo alidondosha uzi wa kuomba mialiko ya ubwabwa ndani ya viunga vya daslamu, na akaweka wazi zaidi kuwa na nauli ni kipengele pia.
Mkuu tuongee in real sense hvi5m hapa bongo utafanya biashara gani... Ambayo itakupa faida ipe ambayo ipo perfectNingetoa ushauri ila nishakuona Bora niendelee Kula nyama za sikukuu
Mtoto aliezaliwa kama wewe unawezaje kumuita mjinga? Kwamba mama yake alizaa mjinga? Wewe ungeitwa mbwa ungejiskiaje..heshima kitu cha bure. Kama.huna la kuchangia bora kukaa kimya ndio ustaarabu kuliko kutukanawatu na kujiona mwamba.Afu mil 5 hana cha kuifanyia, kajinga ....
Usichukulie mambo serious sana kijana, mi na huyo jamaa tunajuana....we endelea na mambo yakoMtoto aliezaliwa kama wewe unawezaje kumuita mjinga? Kwamba mama yake alizaa mjinga? Wewe ungeitwa mbwa ungejiskiaje..heshima kitu cha bure. Kama.huna la kuchangia bora kukaa kimya ndio ustaarabu kuliko kutukanawatu na kujiona mwamba.
😀😄😀😄😀😄😀😄😀😄😀 Mi tapiga mtuu ndani humu aiseeeAfu mil 5 hana cha kuifanyia, kajinga ....
Hebu nipe basi mchanganuo wa biashara yako nikuige nimake mafaida 😹Mkuu tuongee in real sense hvi5m hapa bongo utafanya biashara gani... Ambayo itakupa faida ipe ambayo ipo perfect
😃😃😁😀😁😀😁😀😄😀😄Kweli milion 5 hela ya juice ya miwa tu hiyo haifanyi chochote
Za ndani kabisa nmeambiwa una duka kino, full vioo full ac, kodi unalipa milion 1, dukani umeeka tshrt nne na raba tano.....ni kweli? Au majungu ya wasiopenda maendeleo yako 😹😀😄😀😄😀😄😀😄😀😄😀 Mi tapiga mtuu ndani humu aiseee