Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Daaah aiseeee takuja piga mtuu mimi mjue..Za ndani kabisa nmeambiwa una duka kino, full vioo full ac, kodi unalipa milion 1, dukani umeeka tshrt nne na raba tano.....ni kweli? Au majungu ya wasiopenda maendeleo yako 😹
Madam ipo hivi mi napiga biashara za kawaida sana tuu ila kuna mambo mnafanya mi sipendi
Mnapotosha wenzenu