Nina kama Milioni 5 nifanye mchongo gani wa biashara?

Mpe Man City
Mpe Chelsea .... Agiza kupenda roho ...
Tia milioni hiyo odds 1.94 return 1,900,000.
 
Mkuu kama unania kweli ya kufanya kazi kwa huo mtaji ulionao, tena niseme hiyo pesa ni kubwa sana kama mtaji. Nitafute PM.
Hautajutia kama unania
 
Afu mil 5 hana cha kuifanyia, kajinga ....
Mtoto aliezaliwa kama wewe unawezaje kumuita mjinga? Kwamba mama yake alizaa mjinga? Wewe ungeitwa mbwa ungejiskiaje..heshima kitu cha bure. Kama.huna la kuchangia bora kukaa kimya ndio ustaarabu kuliko kutukanawatu na kujiona mwamba.
 
Mtoto aliezaliwa kama wewe unawezaje kumuita mjinga? Kwamba mama yake alizaa mjinga? Wewe ungeitwa mbwa ungejiskiaje..heshima kitu cha bure. Kama.huna la kuchangia bora kukaa kimya ndio ustaarabu kuliko kutukanawatu na kujiona mwamba.
Usichukulie mambo serious sana kijana, mi na huyo jamaa tunajuana....we endelea na mambo yako
 
πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜€ Mi tapiga mtuu ndani humu aiseee
Za ndani kabisa nmeambiwa una duka kino, full vioo full ac, kodi unalipa milion 1, dukani umeeka tshrt nne na raba tano.....ni kweli? Au majungu ya wasiopenda maendeleo yako 😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…