Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Kampuni nindogo badoMbona hutoi bima ya afya ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampuni nindogo badoMbona hutoi bima ya afya ?
Umejuaje?Kampuni nindogo bado
Angemention kuwa wanahizo offer ila sio kubwa ndio maana hajamentionUmejuaje?
Wadhamini wawe wanafanya kazi basi sio wawe na uongozi serikalini ungekuwa na shida yakazi ache utani basi na watuHuo mshahara na hao wadhamini! Nikatafute mdhamini wa serikalini anidhamini kazi ya laki 2.5!!? Kua nitaiba vinywaji au hiyo van!!?
Yaani kuna mahala unaweza kukutana na vigezo vya ajabu mpaka ukashangaa! Kwa kifupi boss mwenye vigezo hivyo ni mtihaniWadhamini wawe wanafanya kazi basi sio wawe na uongozi serikalini ungekuwa na shida yakazi ache utani basi na watu
Ndii inaitwa cha mtu mavi acha tuYaani kuna mahala unaweza kukutana na vigezo vya ajabu mpaka ukashangaa! Kwa kifupi boss mwenye vigezo hivyo ni mtihani
Wallah!Ndii inaitwa cha mtu mavi acha tu
Asante ndugu.Yaani kuna mahala unaweza kukutana na vigezo vya ajabu mpaka ukashangaa! Kwa kifupi boss mwenye vigezo hivyo ni mtihani
Mgumu sana! Kwanini atleast kwenye hivyo vigezo uweke " wadhamini wawe ni watu wazima/ ndugu zako au wazazi/ mke au mume wako " wengine ni wahitaji wa kazi ila hawana link na hao watu wa serikalini!?Asante ndugu.
Kwa kukusaidia tu, ukiona kazi ina hayo masharti maanake ni kazi yenye uhuru sana....yaani sehemu kubwa ya kazi hauonani na wawiliki wenye...unafanya kazi na mfumo tu.
Natumain nimekuongezea maarifa kidogo ingawa unayo hiari ya kuendelea kuwa mtizamo wako.
Karibu.