Nina kiasi cha shilingi million 7,500,000 itamaliza ujenzi wa vyumba 3

Nina kiasi cha shilingi million 7,500,000 itamaliza ujenzi wa vyumba 3

Aiseee! Kazi ninayo
Asikitishe hajui chochote huyo...ila hyo haitoshi kwel...kwan unatumia tofal gan

Za kuchoma ama?na pia unaplan gan..kutumia cement mwanzo mwisho au unapiga maeneo mengne udongo...

Msing wa mawe au?

Kama utajenga hivyo bas andaa 15 m...tumia bati za kawaida kabisa..acha mbwembwe...inaweza tosha hyo..10-13...

Ila ukijenga kimjin mjini haitosh kabisa
 
Asikitishe hajui chochote huyo...ila hyo haitoshi kwel...kwan unatumia tofal gan

Za kuchoma ama?na pia unaplan gan..kutumia cement mwanzo mwisho au unapiga maeneo mengne udongo...

Msing wa mawe au?

Kama utajenga hivyo bas andaa 15 m...tumia bati za kawaida kabisa..acha mbwembwe...inaweza tosha hyo..10-13...

Ila ukijenga kimjin mjini haitosh kabisa
Kwa plan zangu nilitaka nipunguze gharama kwa kujengea msingi udongo baadae nichapie cement.

Baada ya hapo nitaanza kwa kujengea udongo mpaka sehemu za madirisha baadae renta na kozi za juu nitamaliza kwa cement ndivyo nilivyo plan nifanye[emoji1666]
 
Kwa plan zangu nilitaka nipunguze gharama kwa kujengea msingi udongo baadae nichapie cement.

Baada ya hapo nitaanza kwa kujengea udongo mpaka sehemu za madirisha baadae renta na kozi za juu nitamaliza kwa cement ndivyo nilivyo plan nifanye[emoji1666]
Anhaa..ungeweka msing wa mawe chief..gar ya mawe si 60 tu huko au...halaf kwenye kona za kuta znapokutana weka cement...kwingne udongo...bat kawaida...10m inakutosha ...hakikisha unamlalia fund kwerikweri.....tena tafuta fund ambae atapiga mwanzo mwisho had kupaua..hapo ndo utamlalia vzur
 
Anhaa..ungeweka msing wa mawe chief..gar ya mawe si 60 tu huko au...halaf kwenye kona za kuta znapokutana weka cement...kwingne udongo...bat kawaida...10m inakutosha ...hakikisha unamlalia fund kwerikweri.....tena tafuta fund ambae atapiga mwanzo mwisho had kupaua..hapo ndo utamlalia vzur
Ndio ni mawe maana nilipo kuna kamlima nyuma yangu hivyo mawe hayako mbali sana, pia kwenye kujengea cement kwenye kona siyo mbaya isipokuwa eneo lote halita wezekana itakuwa kuchapia tu.
 
Jenga taratibu ukipata pesa unawekeza kwenye nyumba ,kwahio hela uliyonayo ni ngumu sana kumaliza hio nyumba hata ukimaliza haitakua imara,kumbuka rahisi ni gharama.
 
Kwenye ujenzi watu mnapenda kutishana sana, wewe kwa pesa hiyo anza UJENZI…. itapoishia si utapata nyingine kwani hizo umepataje?
 
Pesa nyingi sana hiyo mkuu.
Hapo unaweza kujenga ghorofa na kufungua biashara kubwa tu.
Milioni 7,500,000 uliyonayo inakupa hadhi ya ubilionea mkuu,hongera sana!.

Acha ujinga basi af kua mstaarabu
 
Habarini za humu JF?

Nilikuwa naomba kwa wenye utaaramu wa ujenzi na kulingana na hali ya kkmazingira na gharama kutofautiana kulingana na mazingira au maeneo tuliopo.

Hivyo nilikuwa naomba kujua kwa kiasi nilicho taja hapo juu maeneo ya Katoro Geita naweza kumaliza ujenzi kwa kiasi hicho cha pesa?

Vyumba 3 tu na jiko ndio plan yangu, nakaribisha maoni na mawazo yenu niko serious katika hili. Kama wewe ni Fundi na uko maeneo hayo ya Katoro tuwasiliane Inbox [emoji392]

Mkuu kiukweli ni ngumu mimi mwenyewe nimejenga Katoro lakini niliishia njiani huo ni ujenzi mkubwa kwani utajenga lakini finish itakua tabu kidogo.
 
Habarini za humu JF?

Nilikuwa naomba kwa wenye utaaramu wa ujenzi na kulingana na hali ya kkmazingira na gharama kutofautiana kulingana na mazingira au maeneo tuliopo.

Hivyo nilikuwa naomba kujua kwa kiasi nilicho taja hapo juu maeneo ya Katoro Geita naweza kumaliza ujenzi kwa kiasi hicho cha pesa?

Vyumba 3 tu na jiko ndio plan yangu, nakaribisha maoni na mawazo yenu niko serious katika hili. Kama wewe ni Fundi na uko maeneo hayo ya Katoro tuwasiliane Inbox [emoji392]
Hapo Katoro mbona kuna mafundi kibao tu kwanini usiwatafute wakakupa mchanganuo na kukujengea nyumba ya Bajeti yako?

Nijuavyo, Geita nyumba nyingi ni za matofali ya kuchoma na hujengewa kwa matope na hivyo gharama huwa zipo chini.

Humu jamiiforums kila mtu ni tajiri na nyumba zao zinaanzia 200Millions na kuendelea. Ukisikiliza ushauri wa matajiri hewa wa humu utakufa kwenye nyumba ya kupanga.

Tafuta fundi hapo Katoro atakujengea nyumba ya hadhi yako na itakamilika.

Kila la kheri kiongozi.
 
Weka vyumba viwili tu..utafanikiwa ..ninavyojua Mimi vyumba vitatu kupaua Ni zaidi ya milioni tatu..
Jenga viwili vya kawaida.. lakini utahamia bila sakafu..na plasta pia madilisha yatakuwa ya wavu na choo nje Cha kiwango Cha chini..
 
I
Habarini za humu JF?

Nilikuwa naomba kwa wenye utaaramu wa ujenzi na kulingana na hali ya kkmazingira na gharama kutofautiana kulingana na mazingira au maeneo tuliopo.

Hivyo nilikuwa naomba kujua kwa kiasi nilicho taja hapo juu maeneo ya Katoro Geita naweza kumaliza ujenzi kwa kiasi hicho cha pesa?

Vyumba 3 tu na jiko ndio plan yangu, nakaribisha maoni na mawazo yenu niko serious katika hili. Kama wewe ni Fundi na uko maeneo hayo ya Katoro tuwasiliane Inbox [emoji392]
Inajenga na kumaliza na mnalala humo ndani.Ingekuwa Kanda ya Kati ningekwambia nikabidhi pesa nikukabidhi nyumba TU.
 
Back
Top Bottom